PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

PostGE2025 Political Tension: Video, hali ilivyo asubuhi hii toka katika jiji la Dar es salaam shukrani kwa DW

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Noma sana sisi hatuna siraha lakini wao wanalindwa na maelfu ya wanajeshi na wanajificha siku tukipata siraha watakimbia mapema
*Silaha
Nyie mipang'ang'a msiojua kiswahili mwatokea wapi?
 
Jukumu la kulinda amani ni la pande zote mbili serikali na wananchi, ila kama tutaona ni wananchi tu ndio wanawajibika kulinda amani basi hizi vurugu zinazotokea sasa hivi tafsiri yake ni wananchi kuchoka kubeba huo mzigo peke yao. Kwa miaka yote watanzania tumekuwa tukiambiana kuwa sisi ni waoga kiasi cha kushindwa kudai haki zetu za msingi, leo hii tumefikia hatua wananchi wanalalamikia mambo kama utekaji, kudai katiba mpya na uchaguzi huru inaonekana wao ndio hawataki amani wanataka kuvuruga amani.
Wananchi wenyewe wangapi? Hawa wankushawishiwa na MangeKimambi na Maria Sarungi?? Naturally Watanzania siyo watu wa vurugu, ni watiifu ila nyie wanaharakati ndiyo mnawapandikiza chuki kwa kuwa mnalipwa na NGOs za kutaka ku promote ushoga Tanzania
 
Saa nne sheli ilichomwa ubungo
leo maandamano ya amani, kama mlipanga kuwaua na kutibua leo genZ wamewaweza, yan wasitoke wakatoka kesho. Mwenyewe kama sitotoka leo, kesho lazima niandamane kwenda kazini, na nimaamdandamo yasio na kikomo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom