Polisi yavamia kikao cha ndani cha CHADEMA jimbo la Segerea, Patrick Asenga na wenzake wakamatwa

Tatizo la CHADEMA ya sasa ni ugaidi. CHADEMA kiliondoka na Dr. Slaa
 
Kwa haya yanayo tokea wana ccm amkeni maana shimo unalo mchimbia mwenzio na ww kuna siku watakuchimbia ni swala la mda tu .Watu mnao furahi kuona chadema wao hawana haki ya kufanya mikutano wakati ccm wanafanya siku mambo yakibadilika napo mshangilie.Hii nchi yetu sote tuipende na tupendane kwani hao chadema wakifanya mikutano tunapungukiwa nn si hasira zao zinapungua lakini mkiwanyima haki hata ya kuongea ndo tunapalia mkaa amani ya nchi kutoweka.
 
Hebu nitafutie post hata moja nikisifia, nitafutie post moja tu tangu 2008
Umesahau ulivyokuwa unamponda JPM na alipoingia Samia ukademka kweli na sasa niwape pole tu maana niliwaambia hapa JF. Nakuletea uzi
 
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .

View attachment 1878915



Updates
=======

View attachment 1878991
Wakamateni wote. Mkiwamaliza basi serikali iongoze nchi ya maaskari Tu bila familia zingine.
 
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .

View attachment 1878915



Updates
=======

View attachment 1878991
Mungu ibariki CHADEMA
 
Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.
Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam.
hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.
 
AMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Jeshi letu linapaswa kufuatilia nyenendo za wafuasi wa chadema kwa karibu zaidi usiku na mchana maana baadhi yao wana chembe chembe za UGAIDI.
Ndugu,
Hivi si mlishasema na kusemaga kuwa CHADEMA iliishajifia? Wengine wanaimba hadharani na kudai kilikwisha zikwa.
Vipi tena mwaonekana kuhangaika namna hii kama kuku anaetafuta pa kutaga?
Wajameni kama huko ndio mwaita kuupiga mwingi basi mtafika hafutaimu mkiwa mwatambaa.
 
Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.
Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam.
hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.
TWASUBIRI hili kama tunavyosubiri ushahidi utakaotolewa mbinguni na Madelu.
 
Mama Samia unalipeleka wapi Taifa!??
ETI ndio uchumi wa kibuluu
1628057201103.png
 
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .

View attachment 1878915



Updates
=======

View attachment 1878991
huyo namba 8 alikuwa sisiemu damu,damu
hivyo kuweni makini na wapelelezi ndani ya vikao
msipoangalia hata kikao kifanyike pangoni mtakamatwa.
 
chadema kwa ilipofika imekua kama imani...na watu wakiamini hata mitutu ya bunduki haiwezi kufanya watu waikane imani yao. Naona anguko la mbogamboga.
 
Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .

View attachment 1878915



Updates
=======

View attachment 1878991
mama ushungi kachachamaa na chadema .. asijisahau 2025 ni karibu tu hapo watakuja kumfunua
 
Mzimu wa mwendazake ndio unaongoza awamu hii kama roboti.Naona shujaa wa Africa anatuongoza kiroho kupitia mzimu wake
 
Police wanazidiwa weledi hata na police wa nchi ndogo tu kama malawi huwezi kuta wanasaidia chama tawala kujibu hoja za wapinzani
 
Back
Top Bottom