Si wewe ulikuwa unausifia utawala huu? Yapo wapi sasa ila tuliwaonya mkatuona mahayawaniHii nchi Jeshi la Polisi linatumika vibaya na miccm, ubwa wakubwa nyie
Si wewe ulikuwa unausifia utawala huu? Yapo wapi sasa ila tuliwaonya mkatuona mahayawaniHii nchi Jeshi la Polisi linatumika vibaya na miccm, ubwa wakubwa nyie
Hebu nitafutie post hata moja nikisifia, nitafutie post moja tu tangu 2008Si wewe ulikuwa unausifia utawala huu? Yapo wapi sasa ila tuliwaonya mkatuona mahayawani
Harakati bambikabambika,hapo sijui watapata wangapi wakubambikia kama mwenye kigoda.Sio kwa kuogopa huko dai pendwa la wananchi la katiba mpya.Tuna Polisi wakipuuzi mno
Umesahau ulivyokuwa unamponda JPM na alipoingia Samia ukademka kweli na sasa niwape pole tu maana niliwaambia hapa JF. Nakuletea uziHebu nitafutie post hata moja nikisifia, nitafutie post moja tu tangu 2008
Ni kama huko kwenu chadema ili uaminike kuwa ni kamanda lazima upambane na kuwachokoza polisiIli polisi apandishwe cheo au aongezewe marupurupu ni lazima apambane na chadema kwanza
Wakamateni wote. Mkiwamaliza basi serikali iongoze nchi ya maaskari Tu bila familia zingine.Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991
Mungu ibariki CHADEMAHii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991
Ndugu,AMANI YA NCHI NI MUHIMU SANA KULIKO wafuasi wa Chadema, kamwe tusikubali wahuni wachache wakajaribu kuichezea Amani yetu.
yeyote atakaye jiona ana uhalali wa kuchezea amani yetu ana stahili au wanastahili kuchakazwa vilivyo ili iwe fundisho kwa wengine.
Jeshi letu linapaswa kufuatilia nyenendo za wafuasi wa chadema kwa karibu zaidi usiku na mchana maana baadhi yao wana chembe chembe za UGAIDI.
TWASUBIRI hili kama tunavyosubiri ushahidi utakaotolewa mbinguni na Madelu.Kama inavyo semekana Mbowe alikuwa anaajiri/recruits askari na wanajeshi waasi kwa lengo la kuhujumu serikali na kuuwa viongozi wa serikali, basi kwakweli Mbowe alifika pabaya sana, siajabu ange ajiri hata wahamiaji haramu kwa lengo baya zaidi.
Matendo haya hayana tofauti na yale wanayo yafanya Bokoharam.
hata hivyo Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vyote vifanye upelelezi wa kina na kwa weledi wa viwango vya juu.
huyo namba 8 alikuwa sisiemu damu,damuHii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991
mama ushungi kachachamaa na chadema .. asijisahau 2025 ni karibu tu hapo watakuja kumfunuaHii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991
Hongera Rais Samia!
Endelea kuupiga mwingi.
Segerea ni makazi ya majambazi wastaafu. Active Majambazi wako Kinyerezi mpaka Mfuru.