Ndoto ya Aly nacha.CCM imefika mwisho.
Wakati Nuhu anatengeneza Safina wako mabwege walibishaNdoto ya Aly nacha.
wenzako wote waliotaka chadema ife wamezikwa waoHii Chadema ife tu ili tupumzike.
Kila Rais kwenu ni wa hovyo tu, nichagueni mimi 2025 ili inchi iwe salama.Tatizo tuna rais wa hovyo
Me mbona bado napumua?wenzako wote waliotaka chadema ife wamezikwa wao
Hahahahahaha.Kwa kweli anaupiga mwingi sana, ila tatizo anaupiga huku kavaa msuli!
Ili polisi apandishwe cheo au aongezewe marupurupu ni lazima apambane na chadema kwanza
No, siyo hivo. Hii ni nchi ya Demokrasia ya Vyama vingi. Kila miaka 5 vyama hupambanisha Ilani zao, Chama Tawala kinachukua serkali, yaani Ikulu, Rais, Polisi, nk. Kwa sasa ni CCM, subirini 2025Hii nchi Jeshi la Polisi linatumika vibaya na miccm, ubwa wakubwa nyie
Ilizima siku aliyozima tar 12 marchAnaupiga mwingi sana kuzima legacy ya Magufuli
Nine....samahaniNo, siyo hivo. Hii ni nchi ya Demokrasia ya Vyama vingi. Kila miaka 5 vyama hupambanisha Ilani zao, Chama Tawala kinachukua serkali, yaani Ikulu, Rais, Polisi, nk. Kwa sasa ni CCM, subirini 2025
Very poor !No, siyo hivo. Hii ni nchi ya Demokrasia ya Vyama vingi. Kila miaka 5 vyama hupambanisha Ilani zao, Chama Tawala kinachukua serkali, yaani Ikulu, Rais, Polisi, nk. Kwa sasa ni CCM, subirini 2025
Segerea, Mwanza, Mbeya, KKKT, Iringa, Usukumani. Why not Moshi or KIA or Kibong'oto or Himo or Kibosho? Kwa Mbowe tunatangaziwa msiba wa kaka yake tusiende kuwaombea tujilinde na Covid, lakini Mwanza na Lindi na Mwanjela twende tu wache wafe. CHADEMA kweli wanajielewa wanajithamini, kwao wanataka amani.Hii ndio taarifa ya sasa kutoka Dar es Salaam, kwa sasa Mwendo ni ule ule wa kuhakikisha Haki za kisiasa za ccm kujibu hoja za wapinzani zinaporwa na Jeshi la polisi , ambalo sasa ni dhahiri limechukua sehemu ya ccm kwenye siasa za Tanzania , hasa baada ya ccm yenyewe kuishiwa hoja za utetezi Kabisa kabisa .
View attachment 1878915
Updates
=======
View attachment 1878991