JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Segerea, Mwanza, Mbeya, KKKT, Iringa, Usukumani. Why not Moshi or KIA or Kibong'oto or Himo or Kibosho? Kwa Mbowe tunatangaziwa msiba wa kaka yake tusiende kuwaombea tujilinde na Covid, lakini Mwanza na Lindi na Mwanjela twende tu wache wafe. CHADEMA kweli wanajielewa wanajithamini, kwao wanataka amani.
..makongamano yangefanyika moshi mngesema chadema wanataka katiba kwa ajili ya wachaga.
..siku ambayo kongamano la chadema lilikuwa lifanyike kulikuwa na mechi ya ligi kuu uwanja wa kirumba.
..sote tunajua mechi ya mpira ina mkusanyiko mkubwa usio na nidhamu kuliko kongamano la siasa.
..kwanini makongamano ya chadema yazuiwe kwa kisingizio cha corona, huku mikutano ya ccm, mbio za mwenge, mechi za mpira, na mihadhara ya kidini, imeruhusiwa?
..Hoja kwamba chadema wanataka kuambukiza watu corona haina mashiko.