Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

Hivi polisi ni CCM ? Hivi tukishika sisi madaraka hao polisi tunawafanya je?
Viongozi wao wengi watakimbia nchi au kufungwa jela.

NB:Bila kua na kadi ya CCM huko jeshini hupati cheo
 
Shida viongozi wa dini nao wameamua kupick sides. Hatari sana. Hii nchi uchawa uchawa tu but wana nafasi pekee katika kutatua hili suala
Yeah viongozi wa dini wangeungana na kusema sasa waumini wetu msile haramu ya serikali gomeni Moto ungewak ila ndo hivyo utaona kesho wamealikwa ikulu kunywa chai
 
Mwacheni mdude avune alichopanda!
Mwanakulitafuta mwanakulipata!
Mimi nilikuwa nashangaa sana kwa kashfa na matusi anayoyatoa kwa viongozi wa nchi kwanini hachukuliwi hatua za kinidhamu na kisheria!
Walivyoomuua ndio hatua za kinidhamu na kisheria?. Unataka hii nchi ibaki na snitches and bitchez na punkass niggas? Tutaendelea vipi tukibaki wote tuko kama kina mwinjaku?....Are guys thinking straight. Viongozi wa tanzania ni watu wajinga na wabinafsi sijawah kutokea anajua siku nikija kutokea noma wako yatakuwa wamekufa, wanawatengenezea watatu was mazingira magumu sana...Dunia bado inakumbuka vitu walivyofanya kina Musolin na generation are paying the price...Hii nchi haiji kubadilika mpaka watu waingie road...
 
Ukipata ajira kama zawad au upendeleo kwa maana huna vigezo vilivyoshiba basi lazima utumike vibaya kwani ukidinda utakufa njaa.
Hata ukichunguza vizuri hizo 35% zimeongezwa kwenye makundi ya hawa vibaraka wake.
 
Wanadai wana intelejensia kali kumbe ya kuivamia chadema tu
 
Kuna mtu kwenye video hataki hata kamera imuelekee, sema nini ndugu zangu kama una familia na iko nchini nenda mbele na urudi nyuma utaacha mayatima wasio na hatia
Yaani usikemee maovu kisa utaacha wanao wakiwa yatima hii ni akili ya kusikitisha ,kifo kinafika muda wowote ,kwa namna yoyote na kwa umri wowote.Ukizeeka shukuru Mungu ni majaaliwa
 
Huenda Mdude tayari atakuwa ameuawa!
Auwawe na nani kirahisi tu hivyo,huyu ni raia tu ambae yuko na msimamo wake mwenyewe.
Polisi ni km muuza bucha tu, akipelekew ng'ombe, mbuzi kondoo ye kazi yake ni kukatakata wateja wanunue nyama.
Tulisema hapahapa,
huyu jamaa ana hamu kukaa jela.
Aliendelea kutukana hawa viongozi.
Na inawezekana wako nae kule.
Kuna hospitali kule.
Mpaka sekeseke la Lissu, Kitima, na huyo mnasema kauliwa yaishe.
October hiyo hapo uchaguzi anatoboa mwenye nchi.
Mtakuja piga kelele badae, mtapoozwa shughuli inapumzika kwanza.
Swala muda ushapotea.
 
Kwenu wakosoaji,fungeni na security cameras majumbani mwenu ili ikitokea umefuatwa nyumbani kama hivi pawe na pakuanzia.
Sio camera tu hata siraha ndogo kama panga kali na mitego flani flani pia ikiwezekana nyumba ziwe na handaki la ku-escape ikitokea wamevunja mlango kama hivi unahakkisha umekata koromeo zao hata watatu kisha unazama mafichoni
 
Haya. Wenye taarifa za aliko mwenzenu pelekeni taarifa hizo Polisi ili mwenzenu apatikane haraka!
Sasa hivi kila usiku upoingia usalama wa raia unazidi kuwa hatarini kibaya zaidi victims ndio wanaogeuziwa kibao nakupewa kesi ya wahatarisha na kuvunja Amani ya Nchi wanataka kuleta machafuko.
Serikali imekaa kimya haisemi kitu kuhusu raia wake, Mahakama inasema hakuna ushahidi na Bunge limezibwa mdomo nakupigwa marufuku kujadili raia wanaotekwa wanaopotezwa na hata kuuwawa
 

Attachments

  • 5808507-b9a5b573c389be127008d3811ff77d2a.mp4
    29.4 MB
  • CCM WAOGA WA UCHAGUZI.mp4
    24.4 MB
Sasa hivi kila usiku upoingia usalama wa raia unazidi kuwa hatarini kibaya zaidi victims ndio wanaogeuziwa kibao nakupewa kesi ya wahatarisha na kuvunja Amani ya Nchi wanataka kuleta machafuko.
Serikali imekaa kimya haisemi kitu kuhusu raia wake, Mahakama inasema hakuna ushahidi na Bunge limezibwa mdomo nakupigwa marufuku kujadili raia wanaotekwa wanaopotezwa na hata kuuwawa
Inasikitisha sanaa
 
Back
Top Bottom