Haya. Wenye taarifa za aliko mwenzenu pelekeni taarifa hizo Polisi ili mwenzenu apatikane haraka!
Ndo hapo sasa ,,yaan wanakamata watu kila mtu akiwa anashuhudia na baadae wanakataa,na Muliro anakataa na haoni aibu unategemea Kuna sku watasema jambo la maana ? Na hata taarifa za kufanya doria nahis ni uongo ,Kama polisi wanakanusha hadharani tukio la kupigwa na kukamatwa waandishi wa habari na raia walioenda kusikiliza kesi hadharani tena kamera zikiwepo unadhani tuna jeshi la namna gani.
Inauma Sana SanaTanzania yetu
It's very painful indeedInauma Sana Sana
Na wasipokwambia utawafanya nini?!Nimeamua kuipuuza hiyo taarifa; watuambie wamemuweka wapi?
Vv
Mwacheni mdude avune alichopanda!Kwa hii statement ya PoliCCM basi safari ya Kamanda Mdude imeishia hapo,bahati mbaya Mdude damu yake imemwagika katika ardhi iliyojaa masheta.
#Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua Mdude hajachukuliwa na Task force
Hebu tupe ushahidi hata wa screenshot wa hayo matusi. Pia tufanye kweli ametukana sasa mahakama zina kazi gani? Je matusi yanalingana na uhai wa mtu?Mwacheni mdude avune alichopanda!
Mwanakulitafuta mwanakulipata!
Mimi nilikuwa nashangaa sana kwa kashfa na matusi anayoyatoa kwa viongozi wa nchi kwanini hachukuliwi hatua za kinidhamu na kisheria!
Mlisema Magufuli ni DIKTETA.
Wacha mnyooshwe.
Hakuna lolote.Alitengeneza barabara ya haya yanayoendelea.