Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

Polisi Mbeya: Mwenye taarifa za alipo Mdude azitoe

Kwaio gentleman umefurahia kukamatwa, kupigwa kikatili na kupotezwa kwa lazima kwa ndugu mdude ??
Gentleman,
sifurahi wala kuunga mkono tukio lolote la kumdhuru na kumuumiza mawananchi na mTanaznia awaye yoyote.
nasisitiza ustaarabu katika kukosoana, heshima katika kuwasilisha maoni na mitazamo yetu toafauti dhidi ya wengine,
napinga mtu yeyote kumendea mke wa mwingine, napinga dharau, dhuluma ya fedha na mali za waliotuamini n.k

siungi mkono kusingizia chochote au yeyote kwa madhila binafsi yanayomkumba mtu binafsi yeyote kwa sababu zake binafsi.

wahalifu wote hukamatwa na vyombo vya kisheria mchana kweupe na bila kaudhibiwa na mwanausalama yeyote yule. Majambazi yasivishweshe sura ya polisi :NoGodNo:
 
Gentleman,
sifurahi wala kuunga mkono tukio lolote la kumdhuru na kumuumiza mawananchi na mTanaznia awaye yoyote.
nasisitiza ustaarabu katika kukosoana, heshima katika kuwasilisha maoni na mitazamo yetu toafauti dhidi ya wengine,
napinga mtu yeyote kumendea mke wa mwingine, napinga dharau, dhuluma ya fedha na mali za waliotuamini n.k

siungi mkono kusingizia chochote au yeyote kwa madhila binafsi yanayomkumba mtu binafsi yeyote kwa sababu zake binafsi.

wahalifu wote hukamatwa na vyombo vya kisheria mchana kweupe na bila kaudhibiwa na mwanausalama yeyote yule. Majambazi yasivishweshe sura ya polisi :NoGodNo:
Kwenye aya ya kwanza tu nimekuelewa vyema Sana na nimekubaliana.

Iyo aya ya mwisho sijakubaliana nayo sababu wale askari walio wakamata mahakamani huku wakirekodiwa asubuh kweupe na kuwapiga,kuwatesa,kutowapeleka vituoni na kuwavunja mikono na miguu kisha kwenda kuwatupa maporini?? Hili ni doa kubwa Sana kwa jeshi la polisi Tanzania na serikalini ya mama Samia.
 
Kwenye aya ya kwanza tu nimekuelewa vyema Sana na nimekubaliana.

Iyo aya ya mwisho sijakubaliana nayo sababu wale askari walio wakamata mahakamani huku wakirekodiwa asubuh kweupe na kuwapiga,kuwatesa,kutowapeleka vituoni na kuwavunja mikono na miguu kisha kwenda kuwatupa maporini?? Hili ni doa kubwa Sana kwa jeshi la polisi Tanzania na serikalini ya mama Samia.
usichanganye mambo gentleman,
majambazi walomvamia kitima na huyo kijana mvuta bangi huko mbeya wasivishwe sura ya polisi.

hakuna doa wala rangi yoyote kwa jeshi imara la polisi Tanzania, ambalo licha ya kusingiziwa yote mabaya, bado liko imara linafanya kazi zake kwa weledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya Taifa.

mayowe binafsi hayawezi kuzuia jeshi hilo kufanya kazi ya kuhakikisha waTanzania wote pamoja na mali na makazi yao wako salama :NoGodNo:
 
usichanganye mambo gentleman,
majambazi walomvamia kitima na huyo kijana mvuta bangi huko mbeya wasivishwe sura ya polisi.

hakuna doa wala rangi yoyote kwa jeshi imara la polisi Tanzania, ambalo licha ya kusingiziwa yote mabaya, bado liko imara linafanya kazi zake kwa weledi mkubwa na kwa maslahi mapana ya Taifa.

mayowe binafsi hayawezi kuzuia jeshi hilo kufanya kazi ya kuhakikisha waTanzania wote pamoja na mali na makazi yao wako salama :NoGodNo:
Huoni kwamba haupo sahihi kuita mtu MVUTA BANGE bila ku uthibitishia umma wa watanzania.

Sio kwamba ni maoni yako binafsi na wivu wa kike kumuita mtu MVUTA BANGE ama MLA UNGA Cc. ASKOFU GWAJIMA Kutuhumiwa kuuza MADAWA YA KULEVYA.

Mapenzi hisia na ushabiki wako kindaki ndaki kwa chama Dola na CCM yako kusikufanye upovu na ukilema wa akili na kua kajinga ka kiwangycha SGR.

KAMA UNA USHAHIDI KUA MDUDE NAVUTAGA NAE BANGI WEKA HADHALANI KWA FAIDA YA TAIFA NA UMMA WA WATANGANYIKA.
 
Huoni kwamba haupo sahihi kuita mtu MVUTA BANGE bila ku uthibitishia umma wa watanzania.

Sio kwamba ni maoni yako binafsi na wivu wa kike kumuita mtu MVUTA BANGE ama MLA UNGA Cc. ASKOFU GWAJIMA Kutuhumiwa kuuza MADAWA YA KULEVYA.

Mapenzi hisia na ushabiki wako kindaki ndaki kwa chama Dola na CCM yako kusikufanye upovu na ukilema wa akili na kua kajinga ka kiwangycha SGR.

KAMA UNA USHAHIDI KUA MDUDE NAVUTAGA NAE BANGI WEKA HADHALANI KWA FAIDA YA TAIFA NA UMMA WA WATANGANYIKA.
polisi kusingiziwa uovu ndio sahihi right gentleman? je unaweza kuthibitisha hao majambazi ni polisi?

mimi huwa naeleza mambo ya ukweli ya msingi tu. Ushabiki wangu hua ni kwa makolo na utopolo pekee.

ikiwa unaoushahidi wa majambazi waliotokomea na huyo mropokaji, saidia polisi kubainisha ukweli, na ikiwa vyote hivyo hutaki basi hakuna haja ya mayowe wala kubabaika na yeyote :putinWalk:
 
polisi kusingiziwa uovu ndio sahihi right gentleman? je unaweza kuthibitisha hao majambazi ni polisi?

mimi huwa naeleza mambo ya ukweli ya msingi tu. Ushabiki wangu hua ni kwa makolo na utopolo pekee.

ikiwa unaoushahidi wa majambazi waliotokomea na huyo mropokaji, saidia polisi kubainisha ukweli, na ikiwa vyote hivyo hutaki basi hakuna haja ya mayowe wala kubabaika na yeyote :putinWalk:
Umejaa propaganda na fix nyingi gentleman 😉
Una tabia ya kuamisha MADA kifupi wewe ni mwamisha magoliiiii

Quoted from pastor

Martin Niemöller​


First they came for the Communists
And I did not speak out
Because I was not a Communist
Then they came for the Socialists
And I did not speak out
Because I was not a Socialist
Then they came for the trade unionists
And I did not speak out
Because I was not a trade unionist
Then they came for the Jews
And I did not speak out
Because I was not a Jew
Then they came for me
And there was no one left
To speak out for me
 
polisi kusingiziwa uovu ndio sahihi right gentleman? je unaweza kuthibitisha hao majambazi ni polisi?

mimi huwa naeleza mambo ya ukweli ya msingi tu. Ushabiki wangu hua ni kwa makolo na utopolo pekee.

ikiwa unaoushahidi wa majambazi waliotokomea na huyo mropokaji, saidia polisi kubainisha ukweli, na ikiwa vyote hivyo hutaki basi hakuna haja ya mayowe wala kubabaika na yeyote :putinWalk:
Jambazi sio Jini CCM kutaka damu ya raia,
 
Mzee Kibao kauawa, Soka kapotea, Farther Kitima kavamiwa, Mdude hajulikani alipo .... Halafu jeshi la police linaomba msaada kuyoka kwa raia. Hivi kweli hapa bado tuna jeshi. Hapa tuna jeshi kweli?

Zile intelijensia za kutambua uhalifu kabla ni kwa ajili ya Chadema tu...!!
Tuombe BBC Africa Eye watusaidie kuchunguza hay mauaji kwa njia ya satellite

Ili watanzania wakijue hicho kikundi cha kigaidi kilichoshindikana Nchini. Tusipochukua hatua za haraka na kulinda usalama wa Raia na kukidhibiti hiki kitaendelea kufanya mauaji.
 

Attachments

  • Cameroon Anatomy of a Killing - BBC Africa Eye Documentary.mp4
    23.2 MB
Back
Top Bottom