Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,673
- 3,283
Hivi polisi ni CCM ? Hivi tukishika sisi madaraka hao polisi tunawafanya je?Kwa hii statement ya PoliCCM basi safari ya Kamanda Mdude imeishia hapo,bahati mbaya Mdude damu yake imemwagika katika ardhi iliyojaa masheta.
#Nitakua mtu wa mwisho kuamini kua Mdude hajachukuliwa na Task force