Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,190
Haijalisha Mange ni mtu wa aina gani, taarifa ni taarifa. Hata kama ni Mange anatupeleka maboya bado taarifa yake inaweza kutumika kama ~true (not true) value, katika mchakato wa kutengeneza truth table yetu.Asilimia kubwa ya watu waliopo mitandaoni ni mazombi wanaendeshwa akili kwa remote kama marobota. Hawafikilii hawajuliulizi imani zao wameweka kwa mange kimambi n.k kwani huyo mange kimambi hanunuliki ilikutoa habari za uongo. HUU NI MCHONGO SHITUKENI