Koschei
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 451
- 749
Pole pole HAJATEKWA
Siamini hili eneo halina ulinzi wowote.
Labda yuko mbweni siyo hapa Mabwepande.
Siamini hili eneo halina ulinzi wowote.
Labda yuko mbweni siyo hapa Mabwepande.
Inaweza pia kuwa hata hiyo ya kutekwa ni smoke screen ili kutengeneza legitimacy ya kumtoa Samia. Kwa tulipofikia chochote kinawezekana.Mkuu hapa bongo wanajua tunafata mkumbo, tunajazwa kiboya sana. Kaja Tesha kapiga kweli hazijapita saa 48 polepole kabebwa; wacha tusubiri kama Tesha atrudi tena; wakati huo huo mpango huo 'mgumu' haukuvuja halafu iwe rahisi kuvuja aliko???
Tusichokijua ni kuwa Dola ikishambuliwa huwa inaungana kwa haraka sana kuliko nyakati zote... na inawezekana wanajua siku nyingi yuko pale na walikuwa wakimlia tu 'timing' kwa kuwa inaonekana walikuwa na uhakika na hii operation... yaani itvis too scar
Duh!Nani ni nani hapa? Wa kwanza kutoa taarifa?
View attachment 3484586
Kaka, upo?Ngoja tuone
Si ukapige picha wewe,Yan ukalishe kalio TU na kutaka Kila kitu uleteweHujapata ata ka picha maana mange kaleta na kaushaid wa gari walilo tumia je wewe una tuletea nini hapa tuamini usemalo?
Bora wewePole pole HAJATEKWA
Huko zako huko Kiwalani na Kibada kwenye chumba cha kupanga na Tecno yako unachimba mkwara mbuzi. Haya kalale kesho uwahi nafasi za kibarua Azam.HAdi saa 4:30 tutakuwa eneo la Mabwepande, tuthibitishie tumtoe sisi hapo ni mwendo mfupi kutoka hapa.
Nyie ndio wale matomaso, sasa picha ushaziona kwa Mange kwa bri unataka akupe picha gani??Mange kasema wame mpeleka kigamboni uko wewe mwebepande sawa yule kaleta kabisa na picha ya gari walilo mteka mpaka na kikundi chake tuletee na kaushaid wa picha sio manenk tu haya toshi
Yani wewe ni mjingaHujapata ata ka picha maana mange kaleta na kaushaid wa gari walilo tumia je wewe una tuletea nini hapa tuamini usemalo?
Hahaha huko hata sipafahamu, niko kambi ya kujitolea maeneo haya, siyo mbali na b/moyo.Huko zako huko Kiwalani na Kibada kwenye chumba cha kupanga na Tecno yako unachimba mkwara mbuzi. Haya kalale kesho uwahi nafasi ya kibarua Azam.
Safi sana ,huo ndio uaname bana, jitafuten mfike 100, Kwa kuanzia Hilo wengine wataunga foleniHAdi saa 4:30 tutakuwa eneo la Mabwepande, tuthibitishie tumtoe sisi hapo ni mwendo mfupi kutoka hapa.
NipoKaka, upo?
Tusaindieni mkuuHadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Mafwele tunamchekea sana yaan jamaa anapewa hype sana kutesa na kuua na anajulikana why bado anaishi?Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Mkuu, hivi wewe bado una nafasi kwenye moyo wako ya kuamini wanachokisema police wa nchi hii?Kwa style waliyotumia kumkamata ya kuvamia makazi yake, sidhani kama wanaweza kumpeleka mahakamani kwasababu teyari na wao wamefanya uhalifu.
Na kama ni Polisi, inakuwaje RPC hajui Polepole yuko wapi?
Mpaka hapa wasijukikana wameshajulikana.