DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu hapa bongo wanajua tunafata mkumbo, tunajazwa kiboya sana. Kaja Tesha kapiga kweli hazijapita saa 48 polepole kabebwa; wacha tusubiri kama Tesha atrudi tena; wakati huo huo mpango huo 'mgumu' haukuvuja halafu iwe rahisi kuvuja aliko???

Tusichokijua ni kuwa Dola ikishambuliwa huwa inaungana kwa haraka sana kuliko nyakati zote... na inawezekana wanajua siku nyingi yuko pale na walikuwa wakimlia tu 'timing' kwa kuwa inaonekana walikuwa na uhakika na hii operation... yaani itvis too scar
Inaweza pia kuwa hata hiyo ya kutekwa ni smoke screen ili kutengeneza legitimacy ya kumtoa Samia. Kwa tulipofikia chochote kinawezekana.
 
Mange kasema wame mpeleka kigamboni uko wewe mwebepande sawa yule kaleta kabisa na picha ya gari walilo mteka mpaka na kikundi chake tuletee na kaushaid wa picha sio manenk tu haya toshi
Nyie ndio wale matomaso, sasa picha ushaziona kwa Mange kwa bri unataka akupe picha gani??

Mambo mengine muwe mnakausha kuficha ujinga uliopo kichwani mwako..
 
HAdi saa 4:30 tutakuwa eneo la Mabwepande, tuthibitishie tumtoe sisi hapo ni mwendo mfupi kutoka hapa.
Safi sana ,huo ndio uaname bana, jitafuten mfike 100, Kwa kuanzia Hilo wengine wataunga foleni
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Tusaindieni mkuu
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Mafwele tunamchekea sana yaan jamaa anapewa hype sana kutesa na kuua na anajulikana why bado anaishi?
 
Kwa style waliyotumia kumkamata ya kuvamia makazi yake, sidhani kama wanaweza kumpeleka mahakamani kwasababu teyari na wao wamefanya uhalifu.

Na kama ni Polisi, inakuwaje RPC hajui Polepole yuko wapi?

Mpaka hapa wasijukikana wameshajulikana.
Mkuu, hivi wewe bado una nafasi kwenye moyo wako ya kuamini wanachokisema police wa nchi hii?
 
Back
Top Bottom