DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Safi sana ,huo ndio uaname bana, jitafuten mfike 100, Kwa kuanzia Hilo wengine wataunga foleni
Hakuna mtu wala harakati zozote labda nyumba ya mtu, watakuwa wanamtafuta yeye Britanica.
Ukiona wanakupa matango pori ujue unatafutwa wewe.
 
Nyie ndio wale matomaso, sasa picha ushaziona kwa Mange kwa bri unataka akupe picha gani??

Mambo mengine muwe mnakausha kuficha ujinga uliopo kichwani mwako..
Unamuamini mange ?
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
 
Mbona haya maneno yanafanana?
 

Attachments

  • Screenshot_20251006_225742_X.jpg
    Screenshot_20251006_225742_X.jpg
    224.8 KB · Views: 10
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
kah!
 
Hujapata ata ka picha maana mange kaleta na kaushaid wa gari walilo tumia je wewe una tuletea nini hapa tuamini usemalo?
Hilo gari lilikuwa na watu ndani na walionekana kuwa ni polepole na mafwele au kama kawa mwendo wa kufanywa wajinga tu na huyo mange wenu?!!!
 
Najaribu kufikiri Kwa sauti ivi kwann Capt.Tesha and company wafanye kumteka mafwele na familia yake washinikize soka,mdude,HP na wengineo warejeshwe🤔
 
Back
Top Bottom