DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

DOKEZO Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca


Wala usijali kabisaa hawa washenzi tuta deal nao ina maana kwanza tutawafatilia wanapoishi alafu tutakuwa tunawasubiria nje ya nyumba zao.....Lazima tuwafurahishe hawa wajinga watake wasitake washenzi sana hawaaa
 
Mbona siku nzima hajajitokeza kukanusha?
Kwanza jiulize kabla ya kuamini hivi polepole kama polepole anaweza kuwa katekwa vile kama ambavyo taarifa zinaeleza? Na je yule ni kaka kweli wa pole pole na polepole na chip wapi na wapi?
 
Haijalisha Mange ni mtu wa aina gani, taarifa ni taarifa. Hata kama ni Mange anatupeleka maboya bado taarifa yake inaweza kutumika kama ~true (not true) value, katika mchakato wa kutengeneza truth table yetu.
Mange anatupelekaje maboya anatoa na ushahidi wao mbona hawatoi ushahidi



Fullstop kwishaaa
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Yani Watanzania akili zenu mnazijua wenyewe, Haya Polepole yupo Mbweni basi twendeni kesho Mbweni.

Maneno mengi vitendo sifuri
 
Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.

Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii

Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Acha longonlongo. Kama kweli mnaweza fanya kweli ili matendo yaseme kama wao wanavyoongea kwa matendo. By the way, Daudi Bashite hayumo na shogaa yake Abduli?
 
Kwanza jiulize kabla ya kuamini hivi polepole kama polepole anaweza kuwa katekwa vile kama ambavyo taarifa zinaeleza? Na je yule ni kaka kweli wa pole pole na polepole na chip wapi na wapi?
Mkuu huoni mlango umevunjwa? Huoni damu, huoni vile vitu vilivyomo juzi hapa Instagram kuna jamaa alidai polepole Yuko Moshi kuna eneo alilitaja tukapuuzia Leo kikowapi


Fullstop kwishaaa
 
Pole pole HAJATEKWA na wala hawezi kutekwa kindezi ndezi, yule jamaa ni next level. Believe me kunabom linasukwa, shitukeni msiwe na akili za kike za kuamini kila mchungaji ni mtumishi wa bwana
Kwahiyo unasema familia yake inadanganya. Kaka zake wamethibitisha kwenye interview na BBC na wamekwenda kuripoti polisi.

Vipi upo kazini kwenye payroll ya Abdul na Samia unajaribu kupotosha umma?
 
Kurudi bongo ni kosa kubwa amefanya. Hii nchi ila itajibu tuu siku moja. Mwenzamseke ndo aliasisi huu ufal* wa kuua na kuteka watu.
 
Hivi ni kwa nini inatumika nguvu kubwa kiasi cha kumuumiza Pole Pole? Alikuwa na silaha? Kaumizwa kwenye purukushani ya kumkamata au corporal punishment ndio order inayotumika hata kama tuhuma zake ni za kisiasa? 🤔
 
Kwahiyo unasema familia yake inadanganya. Kaka zake wamethibitisha kwenye interview na BBC na wamekwenda kuripoti polisi.

Vipi upo kazini kwenye payroll ya Abdul na Samia unajaribu kupotosha umma?
Mimi sipotoshi yeyote ila najaribu kukuamsha wewe uliyelala fanya kufatilia speech za Polepole zote sikiliza kwa makini jinsi alivyojizatiti kiulinzi mpaka mwenyewe anasema waziwazi kuwa yuko vizuri dont even try afu leo hii useme mtu huyo kushikwa kirahisi rahisi tu hakuna hata mtu aliyeuawa hapo kwenye tukio. hiyo ni Big NO, never. Polepole hawezi kutekwa kizembe namna hiyo. Huyo mdogo wake umemwona live au umesikia sauti tu
 
Hivi ni kwa nini inatumika nguvu kubwa kiasi cha kumuumiza Pole Pole? Alikuwa na silaha? Kaumizwa kwenye purukushani ya kumkamata au corporal punishment ndio order inayotumika hata kama tuhuma zake ni za kisiasa? 🤔
Mkuu Kwa unavoidable muona polepole unazani ilikua rahis kumchukua



Fullstop kwishaaaa
 
Back
Top Bottom