Habari za maneno kama hay zilishapita muda kitambo.Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Samia
Britanicca
Too much noise is nonsense.
Habari za maneno kama hay zilishapita muda kitambo.Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Samia
Britanicca
Hakuna siri ya watu watatu ndugu na hasa kwenye matukio heavy ambayo yanahitaji usiri mkubwa.Kama siri zinavuja hivi, basi wahusika wajue hata wao hawako salama.
Nani ni nani hapa? Wa kwanza kutoa taarifa?Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda Mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Samia
Britanicca
Mkuu achana na story hizi; kama ya kutekwa kwake haikuvuja - kwanini unaamini kirahisi hivi...? Pengine ni wao wanatoa misleading info ili kumchanganya kila mtu...Kama siri zinavuja hivi, basi wahusika wajue hata wao hawako salama.
Samahani mkuu, 'Salary', lakini nimeshindwa kunyamaza.Kwa style waliyotumia kumkamata ya kuvamia makazi yake, sidhani kama wanaweza kumpeleka mahakamani kwasababu teyari na wao wamefanya uhalifu.
Na kama ni Polisi, inakuwaje RPC hajui Polepole yuko wapi?
Mpaka hapa wasijukikana wameshajulikana.
Watakuja kusema ni mtu mmojaNani ni nani hapa? Wa kwanza kutoa taarifa?
View attachment 3484586
Hili hata mimi nimelifikiria, inaweza kuwa ni smoke screen.Mkuu achana na story hizi; kama ya kutekwa kwake haikuvuja - kwanini unaamini kirahisi hivi...? Pengine ni wao wanatoa misleading info ili kumchanganya kila mtu...
Siamini hili eneo halina ulinzi wowote.Kweli wamekosana wazalendo wenye silaha wakavamia hilo eneo na kumuokoa, usalama wataifa wazalendo, Jwtz wazalendo, baadhi ya wazalendo katika jeshi la polisi, hata wananchi wazalendo wanaomiliki silaha.
Kweli tunapoteza tunu hii ya mzalendo polepole na kuwapa ushindi wahuni?😢😢, moyo wangu umehisi kulaluliwa leo💔.
Kama ningekuwa kwenye chombo chochote cha ulinzi na usalama, hakika ngekuwa mtu wa kwanza kuchukua vijana wazalendo na kuingia kumuokoa uyu mtu. britanicca, tunaenda kumpoteza mzalendo na mwenye uchungu wa watanzania uku tukitazama. Sijui kama naweza kulala leo. Daaah 😢😢😢
Kabisa, jamaa wanaudhi sana wamebaki kuja kuwatishia tu wana system wenzao huku mitandaoni, badala ya kutanganza state of emergence watu tufurahi.Habari za maneno kama hay zilishapita muda kitambo.
Too much noise is nonsense.
Mkuu hapa bongo wanajua tunafata mkumbo, tunajazwa kiboya sana. Kaja Tesha kapiga kweli hazijapita saa 48 polepole kabebwa; wacha tusubiri kama Tesha atrudi tena; wakati huo huo mpango huo 'mgumu' haukuvuja halafu iwe rahisi kuvuja aliko???Hili hata mimi nimelifikiria, inaweza kuwa ni smoke screen.
Mange kasema wame mpeleka kigamboni uko wewe mwebepande sawa yule kaleta kabisa na picha ya gari walilo mteka mpaka na kikundi chake tuletee na kaushaid wa picha sio manenk tu haya toshi