Koschei
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 451
- 749
100%Smoke screen?
100%Smoke screen?
Wana usongo na wakosoaji wote wa Samia. Nimesikia pia wamewaumiza sana hawa vijana Ofsa Ngiri, Frida na Kiduku.Hivi ni kwa nini inatumika nguvu kubwa kiasi cha kumuumiza Pole Pole? Alikuwa na silaha? Kaumizwa kwenye purukushani ya kumkamata au corporal punishment ndio order inayotumika hata kama tuhuma zake ni za kisiasa? 🤔
Kwahiyo unafikiri familia yake, BBC wanaweka habari bila kuwa na uhakika. Kaka yake Augustino Polepole ametoa taarifa kwenye video.Mimi sipotoshi yeyote ila najaribu kukuamsha wewe uliyelala fanya kufatilia speech za Polepole zote sikiliza kwa makini jinsi alivyojizatiti kiulinzi mpaka mwenyewe anasema waziwazi kuwa yuko vizuri dont even try afu leo hii useme mtu huyo kushikwa kirahisi rahisi tu hakuna hata mtu aliyeuawa hapo kwenye tukio. hiyo ni Big NO, never. Polepole hawezi kutekwa kizembe namna hiyo. Huyo mdogo wake umemwona live au umesikia sauti tu
Haya tumekusikia ewe mwerevu, sasa kunya, chamba, panda kitandani lala.Ukisikia bendera fata upepo ndiyo hii. Watu wazima na akilizao na usomi wao ila akili na fikra zao za kushikiwa na Mange kimambi ni kama makondoo. Wengine kabisa unakuta wanakomaa kana kwamba walikuwepo kwenyetukio. Wote wanaosema polepole katekwa waulize wanauhakika utasikia sisi tumesikia taarifa kwa Mange kimambi. Kweli Mange kimambi ndiyo wakuamini kiasi hicho. Kwa hiyo Mange kimambi anaakili nyingi kuliko polepole kwasababu yeye hajatekwa ila polepole katekwa?
Mwenyewe nimejiskia vibaya sana moyo wangu una deni kubwa sana maana wahuni ndo wanaweza wanafanya chochote bila JWTZ kusema stop au Wananchi kuamka na kusema imetosha basiKweli wamekosana wazalendo wenye silaha wakavamia hilo eneo na kumuokoa, usalama wataifa wazalendo, Jwtz wazalendo, baadhi ya wazalendo katika jeshi la polisi, hata wananchi wazalendo wanaomiliki silaha.
Kweli tunapoteza tunu hii ya mzalendo polepole na kuwapa ushindi wahuni?😢😢, moyo wangu umehisi kulaluliwa leo💔.
Kama ningekuwa kwenye chombo chochote cha ulinzi na usalama, hakika ngekuwa mtu wa kwanza kuchukua vijana wazalendo na kuingia kumuokoa uyu mtu. britanicca, tunaenda kumpoteza mzalendo na mwenye uchungu wa watanzania uku tukitazama. Sijui kama naweza kulala leo. Daaah 😢😢😢
AiseeHadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Kama yule jamaa ni kaka yake kweli kwahiyo unasema kwamba polepole ni kweli yuko na chip mwilini mwake. Polepole huyu ambae aligoma kuchoma chanjo ya korona leo hii akubali kuwekewa chip mwilini mwake kwa lipi?Kwahiyo unafikiri familia yake, BBC wanaweka habari bila kuwa na uhakika. Kaka yake Augustino Polepole ametoa taarifa kwenye video.
Tusiwaamini wao tukuamini wewe.Acha kupotosha umma.
Hatari Sana hiiAisee
Wameblow your cover
Kamata Rucksack sasa hivi weka Jeans tatu, tshirt mbili nan shati moja, anza sasa hivi ohoooooo
Nakuambia elekea boda unayoijua, tafadhali sana...
Arif...anza sasa hivi....
View attachment 3484663
Kwanini nisimwamini. Polepole ana dada, Mama, kaka zake, ndugu, marafiki wengine wengi tu. Polepole ni high profile, mtu maarufu sana hapa Tanzania.Kama yule jamaa ni kaka yake kweli kwahiyo unasema kwamba polepole ni kweli yuko na chip mwilini mwake. Polepole huyu ambae aligoma kuchoma chanjo ya korona leo hii akubali kuwekewa chip mwilini mwake kwa lipi?
Ukisoma mololongo nilivyomjibu yule jamaa, ungeelewa kuwa sisemi anatupeleka maboya. Nilichosema ni kuwa hata kama anafanya hivyo bado ni taarifa ambayo itasaidia kuupata ukweli.Mange anatupelekaje maboya anatoa na ushahidi wao mbona hawatoi ushahidi
Fullstop kwishaaa
Nimepata moyo baada ya kuona anawasiliana na mkuu wa majeshi.Aisee
Wameblow your cover
Kamata Rucksack sasa hivi weka Jeans tatu, tshirt mbili nan shati moja, anza sasa hivi ohoooooo
Nakuambia elekea boda unayoijua, tafadhali sana...
Arif...anza sasa hivi....
View attachment 3484663
Kauli imekaa kitapeli Sana Bwana Afande.Muwe mnatushirikisha ili tuwasaidie, mnakwama sana peke yenu.
Ni katika kukumbushana tuu Post in thread 'Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe' Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika WeweHadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni
Britanicca
Namba 6 mbona kama amewekwa tu kimkakati kwenye hiyo orodhaAisee
Wameblow your cover
Kamata Rucksack sasa hivi weka Jeans tatu, tshirt mbili nan shati moja, anza sasa hivi ohoooooo
Nakuambia elekea boda unayoijua, tafadhali sana...
Arif...anza sasa hivi....
View attachment 3484663
Hawana namna nilazima wampelekeKwa style waliyotumia kumkamata ya kuvamia makazi yake, sidhani kama wanaweza kumpeleka mahakamani kwasababu teyari na wao wamefanya uhalifu.
Na kama ni Polisi, inakuwaje RPC hajui Polepole yuko wapi?
Mpaka hapa wasijukikana wameshajulikana.
MmhHadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Hapo Mello na Mkuu wa Majeshi wamepachikwa tu kuipa umuhimu habariNimepata moyo baada ya kuona anawasiliana na mkuu wa majeshi.