cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Wee ni muongo. MmmhUnakumbuka tuliwahi kukutana Russia 2017 ulipokuwa unafuatilia maisha ya Dr. Shika? Naona sasa umeamua kuwafuatilia Polepole na Mafwele & co😂
Cc: Mimi Wewe Yule
Wee ni muongo. MmmhUnakumbuka tuliwahi kukutana Russia 2017 ulipokuwa unafuatilia maisha ya Dr. Shika? Naona sasa umeamua kuwafuatilia Polepole na Mafwele & co😂
Cc: Mimi Wewe Yule
😂😂😂😂😂Nchi imejaa ma key board warriors tu hii. Ukisoma JF unawaona wako kama Fidel Castro au Che Guevara. Ila kwa ground ni wangese tu kama uncle T au James Delicious.
Hivi vyombo zile top brass zao wote ni jumuiya za ccm. Ila hakuna kukata tamaa cku 1 tutapata ukombozi.alafu vyombo vyetu hasa jwtz na tiss mpo kimya kama mateka sio bure mnatukosea sana.
Hawawezi kukuelewa coz, tunatofautiana level of ElimuKama yule jamaa ni kaka yake kweli kwahiyo unasema kwamba polepole ni kweli yuko na chip mwilini mwake. Polepole huyu ambae aligoma kuchoma chanjo ya korona leo hii akubali kuwekewa chip mwilini mwake kwa lipi?
Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. 😫Hadi jioni hii Polepole yuko polisi Mabwepande/Mbweni. Wamemuumiza sana. Ila yuko hai. Wanataka kumhamisha Kwenda mtwara . Hawajui tunajua wakifanya movement. Mafwele & co will pay heavily for this brutality.
Nawaambieni nawahakikishia narudia tena watajuta sana safari hii
Watajuta
Kuanzia Mafwele, IGP na Muhuni Samia
Britanicca
Japo picha mzeeWamemuumiza sana. Ila yuko hai. 😫
Wale waigizaji tuNashangaa dar waliofanya yao siku ile kwenye mwendokasi leo wako kimya?
Uko sahihi sanaWewe briticana kama ni mtu wa system basi tuna watu waoga wasio wazalendo na nchi yao hakiyamama pengine Mungu anasababu za kutudmfanya sie wengine tusiwepo kwenye hivyo vyombo maana kwa yanayoendelea sasa hivi nchi hii ingekuwa inazungumza kitu kingine na kabisa.
alafu vyombo vyetu hasa jwtz na tiss mpo kimya kama mateka sio bure mnatukosea sana.
Mtu mwenye haki anapodhulumiwa nafsi yake ni laana kwa nchi nyie watu hawa watu wanatuletea laana katika nchi hii ambayo tutakuja kuilipa heavily.
Refer ya Patrice Patrice lumumba hadi wa leo wacongo wanatumikia karma ile.
Hawa watu wa hili Rostam, Samia, Mombo, Abdul, Kikwete wana roho mbaya sana wao wanajali pesa, upigaji, ufisadi, madaraka.polepole anasurubiwa na watanzania wenzake kwa kutoa kashifa za muirani...
sad...
Pole pole HAJATEKWA. Amkeni nyie
Niaminini mimi, ASUBUHI YA KESHO, POLISI WATATOA TAARIFA RASMI KUWA WANAMSHIKILIA POLE POLE....kuendelea kwao kukataa ni risk zaidi...huku mambo si mambo huko JESHINI!.
Asubuhi inaisha saa 5:59Mpaka sasa ni hola
Pole pole HAJATEKWA na wala hawezi kutekwa kindezi ndezi, yule jamaa ni next level. Believe me kunabom linasukwa, shitukeni msiwe na akili za kike za kuamini kila mchungaji ni mtumishi wa bwana
Sio kweli,ametekwa na mafwele.Pole pole HAJATEKWA na wala hawezi kutekwa kindezi ndezi, yule jamaa ni next level. Believe me kunabom linasukwa, shitukeni msiwe na akili za kike za kuamini kila mchungaji ni mtumishi wa bwana
Umezungumza kitu muhim sana i believe in karma huwa haisahau kamwe itakulipa tu nasi tusipokubali kutetea hizi damu zinazopigania haki tutakuja kulipa gharama kubwa mno bila discountWewe briticana kama ni mtu wa system basi tuna watu waoga wasio wazalendo na nchi yao hakiyamama pengine Mungu anasababu za kutudmfanya sie wengine tusiwepo kwenye hivyo vyombo maana kwa yanayoendelea sasa hivi nchi hii ingekuwa inazungumza kitu kingine na kabisa.
alafu vyombo vyetu hasa jwtz na tiss mpo kimya kama mateka sio bure mnatukosea sana.
Mtu mwenye haki anapodhulumiwa nafsi yake ni laana kwa nchi nyie watu hawa watu wanatuletea laana katika nchi hii ambayo tutakuja kuilipa heavily.
Refer ya Patrice Patrice lumumba hadi wa leo wacongo wanatumikia karma ile.