Pole sana Mwamposa baada ya kulikoroga Tanganyika packers na kukataliwa na Feza School ulipoambiwa uhamie jirani nao

Cognizant

JF-Expert Member
Aug 13, 2022
491
1,056
Tulikuonya kuwa acha dharau kutokana na utajiri wako wa kuwahadaa kimapumbazo waumini wako na kamwe usiwaamini hao viongozi waandamizi watatu wa serikalini wanaokupa jeuri kwani kuna siku utageukwa na hutoamini hukutaka kutusikiliza

Mwamposa najua unaficha sana hii taarifa ili isienee wala isijulikane ila bahati mbaya kwako na nzuri kwangu cognizant ni kwamba nina utajiri mkubwa wa kupata taarifa ngumu, za hatari na za ndani kabisa kama hii yako na najua utajiuliza mno kuwa nimeipata

Mwamposa kitendo chako cha kuwatukana matusi na kuwajibu jeuri wale askari na wajenzi wa nyumba za mradi wa rais Samia ( Samia housing scheme ) pale Tanganyika packers Kawe ambao walikuwa wametumwa kukupa maelekezo kutoka mamlaka za juu ndiyo kimekuponza

Mwamposa nina taarifa za uhakika kuwa umeshaamriwa na mamlaka ya huo uwanja wa tanganyika packers kawe kuhama haraka hapo lilipo kanisa lako na kuambiwa uhamie nyuma ya shule ya kitajiri / matajiri ya Feza

Na kuonyesha kuwa safari hii umeyakanyaga kweli kweli kiasi kwamba hata hao waandamizi wa serikali wanaokulinda nao wamekuchunia ni kwamba hata uongozi wa shule hiyo ya kitajiri / matajiri ya feza nao wamepinga wewe kujenga kanisa lako jirani na iliko shule yao hiyo kwa sababu ambayo hata mimi cognizant nimeona ina mashiko kuwa haiwezekani ukawa na kanisa lako lenye mikelele mingi na lisiloeleweka jirani na wanafunzi wa kishua / kitajiri ambao ada zao tu kwa mwaka ni sawa na robo tatu ya bajeti ya nchi au wizara

Mwamposa nimetaarifiwa kuwa kwa sasa ni kama vile umechanganyikiwa kwa kutokujua nini cha kufanya kwani umeshaambiwa uhame hapo ulipo sasa Tanganyika packers kawe na kule ambako umeelekezwa uhamie / uhamishe kanisa lako uwanja ulio jirani kabisa na shule ya kitajiri / matajiri ya feza na kwenyewe wamekukataa / imekataliwa

Unachonishangaza zaidi mwamposa ni kwamba unang'ang'ania kubakia hapo tanganyika packers kawe wakati ulishanunua viwanja vyako vikubwa viwili kimoja kikiwa maeneo ya tegeta na kingine kipo jirani tu hapo mbezi beach tangi bovu eneo maarufu la kona baa nyuma ya nyumba ya mbunge na ulikinunua kwa shilingi bilioni 2 na milioni 500 ila kote huko hutaki kuhamia na unataka tu kubanana hapo hapo tanganyika packers kawe unakotamani hata uuziwe moja kwa moja ili liwe lako na uweze kula pesa za wasiojitambua kiimani

Haya anza kujiandaa uondoke!!!
 
Hakuna mchawi wa kushindana na nguvu za MUNGU, kama shetani alipigwa na malaika wa Mungu mikaeli mpaka akaangukia duniani na huyo tuu ni malaika wa Mungu Bado kipigo Cha Mungu mwenyewe

kama baba yenu shetani alishindwa ninyi wachawi ni kina nani. Moto upo pale pale mtaendelea kula vipigo tuu haijalishi kuhama au kutokuham Tanganyika packers, mwendo ni ule ule
 
Back
Top Bottom