GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,033
GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kumpongeza Mwaposa na Waumini wake wasio na sehemu za Kukaa ( huku wakiwa Wanakoga, Wanakunywa na Wanajamba ) hovyo Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe na Waumini hao wa Kike Mabinti, Wamama na hata Wabibi wakiwa tayari Kulalwa ( kutoa Ngono ) kwa kuanzia Shilingi 500/= ya Mihogo mitano hadi Shilingi 1,000/= kwa Ugali Dagaa na Shilingi 1,500/= kwa Wali Maharage.
Waumini hawa wa kwa Mwamposa ( nikimaanisha wanaotoka Mikoani ) tena 99% wakiwa ni Waathirika na kuja Dar es Salaam Kawe Tanganyika Packers na Kulala katika Miti na Vibanda vya Mama Lishe jirani huwa hawajui Kukataa kiasi kwamba wamesababisha Vijana wengi ( hasa Madereva Bodaboda na Bajaji ) kupenda kwenda Kujipoza Kwao kila mara tu walijisikia kwa gharama hizo za Tsh 500/=, 1,000/= na 1,500/= za Mbunye zilizoathirika.
Baada ya Wanaume wengi wa Kawe kujua kuwa kuna Mbunye za bure na Bwerere kwa Mwamposa Kawe ( Tanganyika Packers ) sasa wamekuja na Msemo mpya ambao unatamba Kawe usemeao...."MKEO AU DEMU WAKO AKIKURINGIA MWAMBIE KWA MWAMPOSA KUMENOGA"..... na hakika ikifika Saa 1 Usiku ukipita katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe ( ambavyo Usiku huwa hakuna Taa ) utakuta Vijana na Waume za Watu wanavyoukaribisha na kuutafuta UKIMWI Wenyewe.
Kwa unayeshtuka niliposoma kuwa hali ya UKIMWI Kawe inatisha ni kwamba nilichomaanisha hapa ni kwamba hawa Vijana na Waume za Watu wakitoka Kulalana huko na Waumini wa Mwamposa wasio na Makazi na ambao wengi Wao ni Waathirika ( na wala hawajali ) hurejea kwa Wapenzi na Wake zao Majumbani na Mitaani hivyo Kuusambaza zaidi kwani hata hao Wapenzi na Wake zao nao Wanagawa Uroda Kiholela vile vile kwa Watu wengine yaani Kawe ni UKIMWI na UKIMWI ni Kawe Kudadadeki.....!!
Ngoja GENTAMYCINE niende zangu sasa Hospitali ya Shamba Kawe au kwa Masista ( Kanisa la Katoliki ) Kawe nikapime UKIMWI ila nikimaliza tu na huko Kupimwa na kuona Mpamaji anarudi na Uso wa Huruma na Kuhoji Chakula ninachokula huku akinitizama kwa aibu aibu nitanyanyuka zangu na Kujiondekea kwani hapo nitajua kuwa tayari Maji yameshamwagika.
Waumini hawa wa kwa Mwamposa ( nikimaanisha wanaotoka Mikoani ) tena 99% wakiwa ni Waathirika na kuja Dar es Salaam Kawe Tanganyika Packers na Kulala katika Miti na Vibanda vya Mama Lishe jirani huwa hawajui Kukataa kiasi kwamba wamesababisha Vijana wengi ( hasa Madereva Bodaboda na Bajaji ) kupenda kwenda Kujipoza Kwao kila mara tu walijisikia kwa gharama hizo za Tsh 500/=, 1,000/= na 1,500/= za Mbunye zilizoathirika.
Baada ya Wanaume wengi wa Kawe kujua kuwa kuna Mbunye za bure na Bwerere kwa Mwamposa Kawe ( Tanganyika Packers ) sasa wamekuja na Msemo mpya ambao unatamba Kawe usemeao...."MKEO AU DEMU WAKO AKIKURINGIA MWAMBIE KWA MWAMPOSA KUMENOGA"..... na hakika ikifika Saa 1 Usiku ukipita katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe ( ambavyo Usiku huwa hakuna Taa ) utakuta Vijana na Waume za Watu wanavyoukaribisha na kuutafuta UKIMWI Wenyewe.
Kwa unayeshtuka niliposoma kuwa hali ya UKIMWI Kawe inatisha ni kwamba nilichomaanisha hapa ni kwamba hawa Vijana na Waume za Watu wakitoka Kulalana huko na Waumini wa Mwamposa wasio na Makazi na ambao wengi Wao ni Waathirika ( na wala hawajali ) hurejea kwa Wapenzi na Wake zao Majumbani na Mitaani hivyo Kuusambaza zaidi kwani hata hao Wapenzi na Wake zao nao Wanagawa Uroda Kiholela vile vile kwa Watu wengine yaani Kawe ni UKIMWI na UKIMWI ni Kawe Kudadadeki.....!!
Ngoja GENTAMYCINE niende zangu sasa Hospitali ya Shamba Kawe au kwa Masista ( Kanisa la Katoliki ) Kawe nikapime UKIMWI ila nikimaliza tu na huko Kupimwa na kuona Mpamaji anarudi na Uso wa Huruma na Kuhoji Chakula ninachokula huku akinitizama kwa aibu aibu nitanyanyuka zangu na Kujiondekea kwani hapo nitajua kuwa tayari Maji yameshamwagika.