Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...
Acha kulalama kaka, real men hawafyati mikia kama pappy, nani kakambia mapenzi ni pesa, good looking unata upake wanja sio. Love is all about the Chemistry.....!!!
Ningekuona wa maanaana sana kama ungeuambia uta fight kwa meno na makucha kuhakikisha una mkeep girl wako......
Swts dear anaongea nini huyu....