please daniel...

please daniel...

Pumbavvvvvv mwanaume gani unajiliza kibwege namna hiyo kisa mwanamke?
mi nachowapendea WAUME ZANGU!
EHEHEHHEHEHHEH NI NAMNA MNAVYOWEZA KUNIPIGANIA ASEE!
ikiwa naleta ubishi ni bora MUONDOKE WOTE !hapo tu!
FEEELING VEEERY SPECIAL!!!
ahahahahhahhahhahah cha gharama HULINDWA atiiiii!
 
Heheh,ama kweli money talks,hit the gym man get good physically and keep finding money..
 
Huyu jamaa ana sikitisha sana yani hajiamini hata chembe.ujinga mtupu.
HAKYAMAMA HATA KAMA HUYO DANIEL ASINGEKUWA NA HELA,SURA NZURI,SIJUI AKO VIZURI PHYSICALLY walahi mwanaume wa aina hiii!
PTUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU sitaki hata bure!
WE Vipppppppppp?
DAADEKI ZAKO!
unalia lia hapa unafkiri mwanamke anataka kuliliwa!
SIMAMA KIUME WEWE!
MWANAUME MWENZIO MWENYE KENGELE KAMA WEWE UNADIRIKIJE KUMWAMBIA PLEASE?UNAMLILI AKUACHIE MWANAMKE!
walahi kama species yenyewe ya wanaume ndo imekuwa hii kipindi hiki bora niendelee kuwa na kina latifa tu!
naweza nkafa walahi nikutana na mtoto wangu wa kiume anaandika makitu ya aina hii!
:frusty:
 
I know una uwezo wa kifedha,
u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila
sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua
demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua
kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya
kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua
umenizidi kwa vyote but please...

Acha umbwiga wew, unalalaaamika kama umelipia vile
 
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...

kama kweli unampenda,utamlinda asichukuliwe na daniela
 
Huyu jamaa ana sikitisha sana yani hajiamini hata chembe.ujinga mtupu.
HAKYAMAMA HATA KAMA HUYO DANIEL ASINGEKUWA NA HELA,SURA NZURI,SIJUI AKO VIZURI PHYSICALLY walahi mwanaume wa aina hiii!
PTUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU sitaki hata bure!
WE Vipppppppppp?
DAADEKI ZAKO!
unalia lia hapa unafkiri mwanamke anataka kuliliwa!
SIMAMA KIUME WEWE!
MWANAUME MWENZIO MWENYE KENGELE KAMA WEWE UNADIRIKIJE KUMWAMBIA PLEASE?UNAMLILI AKUACHIE MWANAMKE!
walahi kama species yenyewe ya wanaume ndo imekuwa hii kipindi hiki bora niendelee kuwa na kina latifa tu!
naweza nkafa walahi nikutana na mtoto wangu wa kiume anaandika makitu ya aina hii!
:frusty:
 
Unatia aibu kwakweli.
we kweli wajojo.
 
What the heck!
...call me stupid, give me all names u can but I can never whine for a lady...if she decides to go, screw her!
 
Huyu mbona kama 'nathan' wa wallang hangan...kamata daniel kasepa na katerinaa
 
Na wewe tafuta mnyonge ummegee! Haipunguzi machungu japo inarudisha hadhi ya kiume
 
mweeeh! mweeeh! mweeeh!

snowhite mtafanya mwenzenu ajitundike kamba ujue!! heheh
 
Last edited by a moderator:
Hakuna demu wa peke ako,Daniel akihonga gari we honga mafuta ya gari,akihonga simu we honga vocha na sio kukaa unalilia wanaume wenzako.
 
hivi vitoto visharobaro vya siku hizi kazi kweli....baadae nchi hii tutakua na vikameruni vingi sana
 
wajojo kwa thread hii unategemea Daniel akuhurumie akuachie mpenzi wako,kweli??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom