please daniel...

please daniel...

First, this dude is a wimp.

Second, he is an embarrassment to all manly men all around the world.

Third, he is the epitome of a girly man.

And for that, he gets his man card stripped, then he needs to get his ass whupped and sent to a boot camp somewhere.

Hopefully that will toughen him up a bit.

Matters of the heart mkuu!
 
Pumbavvvvvv mwanaume gani unajiliza kibwege namna hiyo kisa mwanamke?

Nashangaa.......mi sio man lakini siwezi kunyaranyara ki fa la namna hiyo mbele ya demu......atakuona m s****e......
 
First, this dude is a wimp.

Second, he is an embarrassment to all manly men all around the world.

Third, he is the epitome of a girly man.

And for that, he gets his man card stripped, then he needs to get his ass whupped and sent to a boot camp somewhere.

Hopefully that will toughen him up a bit.

Lets hope so. Werent you too hard on him NN?
BAK, The Boss, what would you say to this dude in distress? SHERRIF ARPAIO
I now truly feel for him.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mademu ishi naye kwa akili. Akienda kombo usiende naye. Wapo wengi ambao wana uwezo kukufanya ufurahi zaidi ya huyo. Mara ya kwanza utaumia but ukivumilia utasahau tena fasta sana. Demu akinikukimbia muache atarudi analia.
 
mi nachowapendea WAUME ZANGU!
EHEHEHHEHEHHEH NI NAMNA MNAVYOWEZA KUNIPIGANIA ASEE!
ikiwa naleta ubishi ni bora MUONDOKE WOTE !hapo tu!
FEEELING VEEERY SPECIAL!!!
ahahahahhahhahhahah cha gharama HULINDWA atiiiii!

Hahaha kwa gharama yoyote ile tutahakikisha kuwa mke wetu unakuwa salama salimini.
 
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...

Jolene x3 l am begging of u please don't take my man. You can have a choice of men, but l could not love again, he is the only one for me Jolene.

Dolly Parton aliimba.
 
Jolene x3 l am begging of u please don't take my man. You can have a choice of men, but l could not love again, he is the only one for me Jolene.

Dolly Parton aliimba.

There should be another for Daniel.
 
There should be another for Daniel.
Usher Raymond alijisemeaga SAME GIRL!
Michael Jaskon(ahahhahahha hii sijawahi kutaka iwe tofauti na ninavyoitamka)alijibizana na nani yuleeee
THE GIRL IS MINE!
hata wacko jacko na umayai wake wote ule lakini ALIKOMAA!
sasa huyu anatuletea habari za Dolly Parton na Esther Wassira aliyetoa swahili version ya same wimbo akauita "Sheila"
mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu!
MWANAUME AKIWA MWANAUME is a real THIIIIING! aseee
 
I know una uwezo wa kifedha, u are good physically,I can not compete with u for that, na una kila sifa za kupendwa na mwanamke yeyote, na najua una uwezo wa kumchukua demu wangu hilo sipingi , but please she means everything to me, najua kuna wasichana wengi but my heart umekwama kwake,sina jeuri yeyote ya kupambana na wewe daniel, nakuomba tu uniachie demu wangu, najua umenizidi kwa vyote but please...
pole sana,

Naamini kabisa hajakuzidi ustaarabu na utu, ndio maana umeweka ujumbe kwake

wasiwasi wangu sijui huyo Daniel ndio kama Yahaya, au ni daniel wa kweli, na kama ni wa kweli... je yupo JF?

Kamanda, sio kila mwenye wajihi, pesa nk.

You may have a magic pill, and you dont know it

You need to man up a little
 
Back
Top Bottom