Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

Pishi la nyoka: mishkaki ya cobra

Kuna tofauti mkubwa kati ya venom na poison venom inakudhuru ikiingia kwenye damu, ila poison inakudhuru kwa kuila, nyokhana poison ana venom ni mpaka akung'ate ndio utaona madhara
 
Kuna tofauti mkubwa kati ya venom na poison venom inakudhuru ikiingia kwenye damu, ila poison inakudhuru kwa kuila, nyokhana poison ana venom ni mpaka akung'ate ndio utaona madhara
Sio lazima akung'ate. Ukiwa na jeraha, mikwaruzo au hali yoyote itakayoruhusu sumu yake ikutane na damu yako basi wewe ndo ivo tena imekula kwako.
 
Naambiwa tumewala sana kwa jina la samaki wa vipande
Belut.jpeg
 
Back
Top Bottom