Mkuu watu wanakosa vitu vizuri kwa mapokeo tu.Samaki nyoka.. Huyu hata last week nilimlaView attachment 3652045
Eti eeh?!Sumu ya nyoka huwa hatari inapodungwa kupitia meno(fang), sio inapomezwa.
Niliwahi piga KEUPE ka mwanza, daah wanatuchanganyi fekero nyingi sana tukiwa tunayumba. Mpaka leo sijawahi pata keupe kakali kama kale. Nilizima wakati kawaida napiga mls 750 na bado na drive vizuri sana ila that day nilizima.
Jaribu ulete mrajesho mkuu.Eti eeh?!
Hivi unatuonaje lakini mkuu?
Ujue huu msemo wa keupe nimekuja kujua ni konyagi kwa kuchelewa sana😁.Niliwahi piga KEUPE ka mwanza, daah wanatuchanganyi fekero nyingi sana tukiwa tunayumba. Mpaka leo sijawahi pata keupe kakali kama kale. Nilizima wakati kawaida napiga mls 750 na bado na drive vizuri sana ila that day nilizima.
Wewe ulizani ni nini uliposikia kwa mara ya kwanza😁😁Ujue huu msemo wa keupe nimekuja kujua ni konyagi kwa kuchelewa sana😁.
Duh pole sana hivi vifekelo vinadhuru mpaka nguvu ujue🙌🏿Niliwahi piga KEUPE ka mwanza, daah wanatuchanganyi fekero nyingi sana tukiwa tunayumba. Mpaka leo sijawahi pata keupe kakali kama kale. Nilizima wakati kawaida napiga mls 750 na bado na drive vizuri sana ila that day nilizima.
Sikutilia maanani kabisa, nikawa nasikia tu keupe😁Wewe ulizani ni nini uliposikia kwa mara ya kwanza😁😁
Kuna samaki mmoja huko Japan wanakula anaitwa pufferfish, huyo samaki unapokwenda sokoni kununua unamkuta kwenye tank la maji, na anaandaliwa na wataalamu ambao wapo certified kumuandaa..Ndio mkuu
Kuna samaki mmoja huko Japan wanakula anaitwa pufferfish, huyo samaki unapokwenda sokoni kununua unamkuta kwenye tank la maji, na anaandaliwa na wataalamu ambao wapo certified kumuandaa..
Pufferfish akitolewa kwenye maji halafu ukachelewa kumuandaa akifa, organs zake zenye sumu huachia sumu kwenda kwenye mwili wote, na nyama yote inakuwa na sumu...
Hivyo akitolewa tu kwenye tank, master chef ambao ni certified humkata haraka haraka na kuondoa organs zenye sumu akiwa bado mzima, zoezi zima hufanyika haraka ili sana.
UKimtoa tu kwenye tank huwa anaanza kuvimba hivi, hivyo bila kuchelewq unaanza kumkata haraka sana na kwa ustadi...
Kuna familia nyingi huko Japan ambapo zilipoteza maisha tokana na kukosea kumuandaa huyo samaki...
Serikali imeweka sheria kali dhidi ya ununuaji na uandaaji , akishanunuliwa tu anaandaliwa hapo hapo na wataalamu.. unless kama unamnunua kama pet kwa urembo nyumbani..
Jamaa wana roho ngumu sana, maana huyo samaki ana sumu kali.. ila wanamla kama sushi... au wanaweza kumkaanga, wanasema ni mtamu balaa..
![]()
![]()
![]()
Ulishasikia wapi marehemu kaleta mrejesho?..tangu uzaliwe?Jaribu ulete mrajesho mkuu.
Speaking from experience