Prisoner
Senior Member
- Jan 26, 2010
- 119
- 0
Kawaida Polisi wakikukamata na kosa hili na kuikuta kosa lingine basi ujue utawajibika kwa yote.mbona mtu akipekuliwa mfano labda nyumbani kwake wakiisi kitu wakikuta bangi na wakikuta Gongo pia wakikuta Bastola hayo yote ni makosa tofauti walikuja kusaka bangi wakakuta na makosa mengine yoote unashtakiwa nayo. hiyo ndio Sheria ya Nchi ilivyokaa nyie si mnapiga kura tuu sheria hamuijui sasa ndo hiyo na yeye kosa lililompeleka ni Rushwa na amekutwa na kosa la kukutwa na pingu sasa yote atapelekwa mahakamani. kwani si sheria kuwa na pingu bila kibali. Nawashauri msinunue pingu bila kuwa na kibali. mimi nimetoka keko kulivyoo du usiombe upelekwe asante.