bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
Sasa kama polisi ndio wanamnail mtu namna hiyo basi tuna kazi ya kupambana na mafisadi kwa kweli. Muro kuna vitu kachemsha na yeye; ni nani aliyempigia simu kumuambia juu ya mkutano wa waandishi wa habari. Hamtaji.
hii habar tangu itoke imekuwa ya kuunga unga sana kwa kweli....biafsi jana nilishindwa kupata picha naona bado kuna mambo hayapo wazi kabisa!!!!!!