Inapungua mpaka ngapi boss wangu2,900,000 mkuu. punguzo ipo.
.Haya mapikipiki shenzy kabisa, HONDA ACE 125 TUF, Sitaki hata kuyaona, moja lilishanigaragaza Mwanza pale nyegezi nimetoka town naelekea buhongwa,
Kidogo nife au kukatika mkono maana nilikuwa kwenye 110 km/h kama sikosei, li mbwa likakatisha barabara nikalifagia, kilichofuata kumbe lilinipiga mtama, niliamka nipo hospitali.
Nilikoma na nikaamua kuacha job baada ya management kukataa kuleta gari badala ya bodaboda.
2,850,000 mkuu ntakuuzia. kama una mipango ya kuchukua mashine, nipigie simu 0689-866100 au nipe namba yako ya simu nikupigie tuongeeInapungua mpaka ngapi boss wangu
Mbn hakuna mawasiliano,nahitaji Niko kilimanjaro
hivi hamna Honda ACE 125 CBD ya rangi nyeusi?
Hizo hamna mkuu.hivi hamna Honda ACE 125 CBD ya rangi nyeusi?