Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

Picha tafadhari
Ina rejeta pia
IMG-20180309-WA0010.jpg
IMG-20180309-WA0009.jpg
 
Habari za leo mkuu?...naomba kujua bei ya Honda cbd125 isiyo na starter(yenye kick tu) kwa sasa bei ni shilingi ngapi?....
 
Tuna wateja wengi huko mkoani tunawasafirishia piki piki na wanapata piki piki zao bila usumbufu wowote. kwahiyo usiwe na shaka na kampuni yetu kwasababu tunafahamika kwa wadau wengi na ofisi zetu zinafahamika.
Kama njia ya kuagiza piki piki kutoka dar sio salama kwako, basi nakupa njia nyingine, tuna tawi letu hapo hapo kigoma mjini nakupa namba za simu ya jamaa wetu hapo kigoma anaitwa mujuberi, 0717601988. mnaweza kufanya naye biashara.
can i have your contacts please?
 
0767606410...Me ninahitaji honda hivyo naomba unicheki kwa namba hii boss ili tuyajenge.
 
Wakuu!
Nahitaji YAMAHA 150 au HONDA 150 bei yake inaendaje? Kama yupo anayeuza mpya anitumie picha whatsapp +255 719815018
 
ok jamani wadau natangaza, kampuni ya quality motors ltd ambayo ndio walikuwa magent wa pikipiki za honda Tanzania, wamesimama kibiashara mwaka huu 2019. pikipiki za honda hazipo tena sokoni mpaka pale agent mpya atakapo patikana tena. nimejaribu kudelete hii posti kitambo lakini nashindwa. naomba mdau anayejua kudelete post anipe maelekezo hapa ili niweze kuondoa hii post. yaani napigiwa simu sana na wadau kutoka sehemu mbali mbali wanataka pikipiki lakini sasa sina cha kuwasaidia kwasababu hakuna pikipiki za honda.
 
Back
Top Bottom