relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,429
- 5,470
Ndio hizo honda manji au zipi mkuu?ok jamani wadau natangaza, kampuni ya quality motors ltd ambayo ndio walikuwa magent wa pikipiki za honda Tanzania, wamesimama kibiashara mwaka huu 2019. pikipiki za honda hazipo tena sokoni mpaka pale agent mpya atakapo patikana tena. nimejaribu kudelete hii posti kitambo lakini nashindwa. naomba mdau anayejua kudelete post anipe maelekezo hapa ili niweze kuondoa hii post. yaani napigiwa simu sana na wadau kutoka sehemu mbali mbali wanataka pikipiki lakini sasa sina cha kuwasaidia kwasababu hakuna pikipiki za honda.
Sent using Jamii Forums mobile app