Musoma hatuna tawi bosi. sisi tunasafirisha pikipiki kwa wateja wetu wote wa mikoani. tunakupa bank account namba ya crdb utalipia kisha sisi tunakusafirishia. cha muhimu ni mawasiliano ya simu ndio yanahitajika. mzigo unafika bila usumbufu. tuna wateja wengi kutoka halmashauri mbali mbali za serikali, makanisa, mashirika yasiyo ya kiserikali na wateja binafsi tunawasafirishia mzigo. nipigie simu 0689-866100, au 0717-518359.mnao mawakala wenu mikoani? maana nahitaji sana kumiliki mojawapo ya pikipiki hizi, nipo musoma
Hii inauzwaje?
million 3,350,000.Hii inauzwaje?
Mkuu hii bei tafadhali na cc ngapi?
2,900,000 mkuu. punguzo ipo.Mk
Mkuu hii bei tafadhali na cc ngapi?