Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

mkuu oil ya pikipiki ya honda zinauzwa sheli. we nenda sheli yeyote iliyo karibu yako ulizia oil ya 4T au ulizia oil kwa ajili ya petrol engine watakupa. sio issue kubwa.
 
mkuu oil ya pikipiki ya honda zinauzwa sheli. we nenda sheli yeyote iliyo karibu yako ulizia oil ya 4T au ulizia oil kwa ajili ya petrol engine watakupa. sio issue kubwa.
Ok, sio kwamba 4T hakuna Kwa mfano huku kwetu Iringa 4T zipo ila ni 20W-50 na nikiangalia hii oil ni nzito sana nikilinganisha na 10W-30. Unasemaje hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok, sio kwamba 4T hakuna Kwa mfano huku kwetu Iringa 4T zipo ila ni 20W-50 na nikiangalia hii oil ni nzito sana nikilinganisha na 10W-30. Unasemaje hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Oil kwa pikipiki za honda ni 4T 10W- 30 au 4T 10W- 40. ukitafuta Oil za castrol, superix au mobil oil, utapata tu. labda kama ikishindikana kupata Oil huko mkoani Kwako basi aagiza mtu akununulie huku dar.
 
kitu kingine mkuu inategemea na ukubwa wa engine ya pikipiki kama engine cc ni 200 na kuendelea na Oil inayotakiwa ni nzito zaidi kwa ajili ya hio engine.
 
ace 2.jpg
 
Habari wadau wa biashara, napenda kuwatangazia Kwa wale wanunuzi wa piki piki, Tunazo piki piki Toleo mpya za Honda kutoka Quality Motors ltd. kwasasa nimehamia ofisi zetu za tazara, Mnaweza kutembelea na kuziona kwenye showroom yetu ya tazara, Dar. Piki Piki za Honda ni mpya na imara kabisa, na vile vile zina fahamika sana kwa wadau wetu. Kwa wadau wa mikoani tunawasafirishia mizigo.

Aina za matoleo ya Honda ambazo tunazo ni kama ifuatavyo;

1. Honda CG 110-Bei mil.1.7 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.(Zimeisha)
2. Honda Ace 125 CBD- Bei ni mil. 3.2 pamoja na usajili na warranty ya mwaka.
3. Honda Ace 125 CB- Bei ni mil. 3.2 pamoja na usajili na warranty ya mwaka.
4. Honda Ace 125 CBD Toleo la Zamani. Bei Mil 3.0 usajili na warranty ya mwaka.
3. Honda TUF 125- Bei ni mil. 3.2 pamoja na usajili na warranty ya mwaka.
4. Honda XL 125-Bei ni mil.8.7 pamoja na usajili na warranty ya mwaka. (zimeisha)

kwa mawasiliano zaidi, piga simu 0717518359. 0689866100 au fika ofisi zetu za tazara karibu na kiwanda cha sigara.
Barua pepe- jonelias6@gmail.com

Honda Spare parts zipo tunauza hapo hapo ofisini. Karibuni wateja wetu.

Attached Files:
 
Back
Top Bottom