Haaaa haaaaa! Naona umekikubali chombo kwa mwendo ila pole kwa ajali mbwa,mbuzi huwa tunawakazia mikono tunapiga tu mwendo mdundoHaya mapikipiki shenzy kabisa, HONDA ACE 125 TUF, Sitaki hata kuyaona, moja lilishanigaragaza Mwanza pale nyegezi nimetoka town naelekea buhongwa,
Kidogo nife au kukatika mkono maana nilikuwa kwenye 110 km/h kama sikosei, li mbwa likakatisha barabara nikalifagia, kilichofuata kumbe lilinipiga mtama, niliamka nipo hospitali.
Nilikoma na nikaamua kuacha job baada ya management kukataa kuleta gari badala ya bodaboda.
HONDA CG 110 ZIPO 4 TU KWA BEI YA MIL 2 TU WATEJA WALIOKUWA WANAZITAFUTA WANITAFUTE KWENYE SIMU KABLA HAZIJAISHA. SIMU 0717-518359, 0689-866100
View attachment 642945
Yamaha YBR ofisi zao zipo tazara kwenye jengo la DHl. happ hapo utapata spea za yamahaMkuu, naweza kupata spares za Yamaha YBR.?
Kampuni ya sunlg ndio wanauza wapo hapo kariakoo maeneo ya nkurumah.Nahitaji pikipiki zile kubwa ndefu za kichina, mtaani zinaitwa tchangarai, je nitazipata na ni shilingi ngapi?
kwahy zipo red na blue, mwez wa nne nikirudi dar nitakutafuta tukijaaliwa uzimaHizo hamna mkuu.
hamna mashaka. mimi nipo. ukija dar nitafute kwenye simu.kwahy zipo red na blue, mwez wa nne nikirudi dar nitakutafuta tukijaaliwa uzima
pamoja mkuuhamna mashaka. mimi nipo. ukija dar nitafute kwenye simu.
mkuu mbona honda za electric starter zipo kitambo tunauza toka mwaka jana na sasa bei imeshuka hadi 2,500,000 kwa honda za starter. spea za honda zipo za bei ya chini na kwasasa hadi wachina wamefyatua spea za honda zipo nyingi kariakoo.changamoto kubwa ya Honda bikes ni kuwa ni kick starter,wateja wengi wanalalamika sana kipindi nikiwa Sales Executive wa Quality motors ltd ARUSHA branch 2013-2015 nilikumbana naye pia spea ghali mno,mfano dash board ya honda ace 125 ni tsh 140,000/= wakati ya toyo ni tsh 18,000/ kwa kipindi kile...