Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

Niko Shamba huku 3g ni tatizo ivyo sijaona picha . Napenda nijue iyo ya 3.4ml inauwezo kwa kutembea Dar to Songea Direct pasipo lazimika kupumzika? Na ni stater au kiki?
Sorry kuingilia uzi ila kuna honda 250cc used toka japan inauzwa 3.8mil
 
Hizo Zimeshaisha bosi kitambo na kiwanda hakitengenezi tena toka mwaka jana. Umechelewa mkuu.
Mkuu Nna pikipiki yangu ya miguu mitatu....used Toka Denmark ntumie namba yako ya whatsap nkutumie najua Una connection na wazungu hyo itawafaaa si unajua wao ni watu wa kujiachia.....
Imesajiliwa tayari pikipiki hyo

Ova
 
Hizo Zimeshaisha bosi kitambo na kiwanda hakitengenezi tena toka mwaka jana. Umechelewa mkuu.
Asante kwa jibu zuri, ila nazionaona mtaani japo ni chache zinazomilikiwa na makampuni. Unaweza niambia zinatumia km ngapi kwa lita? Asante
 
Mimi nipo kimara, basi tutawasiliana nami niione chombo nijiridhishe mkuu ila nikiona japo hata picha si mbaya kwa kuanzia tu
Karibu sana mkuuView attachment 778136
IMG-20180309-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom