Pikipiki za honda zinauzwa

Pikipiki za honda zinauzwa

Asante sana Wadau wangu kwa kupokea tangazo na nimeona mwitikio mzuri kwa wateja ambao wamekuja kununua piki piki kwetu. Kweli nashukuru Jamii forums imerahisisha biashara. Kwa wale wadau ambao bado wanatafuta Piki piki wasisite kunitafuta kwa mawasiliano 0717-518359. Honda
 
HONDA ACE CB 125 MPYA ZIMERUDI. WADAU WA HONDA TUWASILIANE AU TEMBELEA DUKA LETU LA MSASANI.

TX2.jpg


TX3.jpg


TXI 1.jpg
 
mkuu picha hizo hapo nimekutumia. Bei yake ni kubwa kutokana na quality yake na ubora wake ni mkubwa pamoja na uwezo wa kutembea bara bara zote za rough road na uwezo wa kubeba mizigo mizito. wadau wanaoifahamu wanaita piki piki ya shamba. Engine yake tu ni mkataba wa miaka 5 na zaidi. Bei yake mbona sio ya kutisha.
Hivi unafahamu kwamba kuna piki piki za Honda za miliion saba mpaka million kumi na tano. Nenda vile vile kampuni ya Yamaha kaulize Bei za piki piki zao.
Haya mapikipiki shenzy kabisa, HONDA ACE 125 TUF, Sitaki hata kuyaona, moja lilishanigaragaza Mwanza pale nyegezi nimetoka town naelekea buhongwa,

Kidogo nife au kukatika mkono maana nilikuwa kwenye 110 km/h kama sikosei, li mbwa likakatisha barabara nikalifagia, kilichofuata kumbe lilinipiga mtama, niliamka nipo hospitali.

Nilikoma na nikaamua kuacha job baada ya management kukataa kuleta gari badala ya bodaboda.
 
Niliwahi muuliza dereva wa boda boda kwanini hamnunui Honda akasema zile bei ghali sana ila zinadumu sana
Kwa biashara hazifai kwani hela yako kuirudisha itachukua muda sana ila kwa matumizi binafsi ni mkataba
Kama zile za Mangi unakuta zimebeba mzigo ila zinatembea tu 110
 
Niliwahi muuliza dereva wa boda boda kwanini hamnunui Honda akasema zile bei ghali sana ila zinadumu sana
Kwa biashara hazifai kwani hela yako kuirudisha itachukua muda sana ila kwa matumizi binafsi ni mkataba
Kama zile za Mangi unakuta zimebeba mzigo ila zinatembea tu 110
Lakini tunazo Honda Cg 110 bei milliion 1.9 picha yake ipo hapo juu. zipo bara barani zinaonekana nyingi tu na wapo madereva wa boda boda wanazitumia nafikiri promotion haijawafikia watu wengi vizuri.
 
Habari wadau wa biashara, napenda kuwatangazia Kwa wale wanunuzi wa piki piki, Tunazo piki piki za Honda kutoka Quality Motors ltd. Mnaweza kutembelea na kuziona kwenye showroom ya Msasani karibu na Hospitali CCBRT, Msasani. Piki Piki za Honda ni mpya na imara kabisa, na vile vile zina fahamika sana kwa wadau wetu.

Aina za piki piki ambazo tunazo ni kama ifuatavyo;

1. Honda CG 110 - Bei ni mil.1.9 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
2. Honda Ace 125 cbd- Bei ni mil. 2.8 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
3. Honda TUF 125- Bei ni mil.3.4 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.

kwa mawasiliano zaidi fika showroom yetu ya Honda, Eneo la Msasani. Au piga simu 0717 518359. Barua pepe- jonelias6@gmail.com

Honda Spare parts zipo tunauza hapo hapo ofisini. Karibuni wateja wetu.
Cg 110 ni ipi kati ya hizo picha?
Honda CT 110 mpya zipo tunazo chache zilizobaki stock. Bei ni million 7.3.
 
WADAU WA HONDA TUNA STOCK YA HONDA ACE CBD 125 ZIMEBAKI CHACHE KWA WALE WADAU WALIOKUWA WANAZITAFUTA TUWASILIANE KWA NAMBA YA SIMU 0717-518359. QUALITY MOTORS LTD.

BEI NI MILLION 2.8. ZINAPATIKANA SEHEMU MOJA TU KWA SASA, NI OFISI YETU YA MSASANI, MACHO. STOCK ZIMEBAKI CHACHE WAHI UFANYE BOOKING MAPEMA KWA MAANA STOCK MPYA MPAKA IJE INACHUKUA MIEZI MIWILI


ace blue 3.jpg



ace blue.jpg

honda ace red 3.jpg
 
Back
Top Bottom