Mbona mapokezi ya Karamagi alipoenda Bukoba Vijijini yalikua Makubwa sana?Unajua Umati kiasi gani ulimpokea Chenge?Unajua kwa Rostam watu hadi wa Kuzimia waliandaliwa?
Siku hizi kuna kampuni zinakodisha waombolezaji wa kulia kwenye misiba na hata kuzimia
Unapoongelea pigo kwa mazingira ya picha nilizizoona pamoja na jitihada za Mwenyekiti wa CCM mkoa nashindwa kuelewa ni pigo kwa CCM,Mhusika Mkuu au kwa CHADEMA kata ya Mwandiga?Maana kata ya Mwandiga kuna wanachama wanaofuata misingi sio watu.Hata hivyo mbunge ana haki ya kutembelea jimbo lake ilimradi havunji katiba hasa pale anapokua mtuhumiwa mwenye mashtaka anayopaswa kuyajibu kwenye vikao halali kwa hiyo cha msingi ni kuchukua tahadhari tu asivunje katiba na kanuni za chama chake
Ben niliwahi kukwambia siku moja kwamba una chuki na zitto na ndiyo maana ulitumwa kumuu kwa sumu na ukakubali,lakini kwa bahati mbaya tu hukufanikiwa,leo hii unathibitisha hili!
Ben kumbuka kwamba haya yote yana mwisho na siku zako zinahesabika katika kuthibitisha hili kwamba una chuki na zitto!
Ben kwa mtu kama wewe ambaye umekuwa ukijipambanua kama msomi hukupaswa kuingia kwenye majaribu kama haya,hapa ndipo umethibitisha kwamba wewe ni chuyaL
Ben zitto anakuzidi wewe kila kitu,anamzidi slaa kila kitu,anamzidi mbowe kila kitu,na anawazidi takataka wote wanaoomgozwa na wewe kwa kila kitu!
Mimi si mfuasi wa zitto lakini uonevu mnaomfanyia ikiwemo kumsaka kwa sumu ili kumuua haunipendezi hata kidogo,hakuna thread humu ndani imayomsifia zitto ambayo wewe huingii na kuponda hata kama kuna ukweli ndani yake?!
Hivi Ben Dk Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto kigoma?!
Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Mwanza?!
Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto,Tabora?!
Hivi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Geita?!
Hibi Ben Slaa anaweza kuwa maarufu kuliko Zitto Singida,Dodoma,Morogoro,Mtwara,.................?!!
Jaribu kutumia akili yako vizuri ili kuonesha usomi wako,vinginevyo tutaamini kwamba kweli wewe unatumika kutaka kumuua zitto kwa sumu kwa huu mwenendo wako Mkuu Ben!!
Ben Saanane.