Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
Hahahaha,upo?
Ukuta vipi?
 
Magufuli sio maskini. Zile Nyumba za Umma alijiuzia na yeye, ile Meli Chakavu ya 8 bln hakuachwa hivi hivi.
 
Mbona huyo haelekei kuwa ni Kitwanga, na hapo si mwaka 1992, hapo inaonekana ni bungeni Dodoma wakati mheshimiwa tayari ni naibu waziri....
We huoni huo mkoba wake wenye chata ya serikali na nyuma anaonekana Jackson Makweta aliyekuwa waziri sijui wa nini enzi hizo.....
1992 JPM hakuwa Mwanasiasa alikuwa zake viwandani, kagombea ubunge kwa mara ya kwanz 1995.
 
kwani kuna Rais wa Tanzania ambaye ametokea familia ya kitajiri na sijui nani alikuambia yoyote akiwa Mkuliwa kwa Tanzania ni masikini.
Akili za kufikiri kwa kutumia mahaba ya CCM muwe mnafanya kwa kipimo = yasiwatoe mpaka akili
 
models-present-suits-by-fashion-designer-claude-montana-for-his-picture-id51968933


Tusidanganyane hizi ndiyo suit za 1990.
Mpaka avae Beckham ndo suti ya pombe itaonekana Designer!
 
Swaga za presidaa zinaniacha hoi. Kitwanga kumbe wa mjini sikunyingi eehh.
Kitwanga mjanja long time.... Mkulu anaazima maujanja Kwa Kitwanga.... Na tukitaka mkulu apunguze mizuka basi mwanae wa long time kazi hiyo anaiweza Sana tuu. Kifupi mkulu kumwamo hapindui kwa jemadari kitwa
 
Jamaa sio katoka mbali, hajui kuvaa tu... Mbona mwenzake yuko smart!?!?
Kua shaghalabaghala inaonekana ni sehemu ya maisha yake...
Ukisha ona mtu mavazi yake ni kachumbali hata matendo yake hua hivyo hivyo...
 
Hiyo Picha sio mwaka 1992 kwasababu kipindi hicho JPM hakuwa mbunge bado,JPM kaingia bungeni mwaka 1995 baada ya mkapa kuwa Rais na hapo hapo akawa waziri mdogo wa ujenzi chini ya mama anna abdalah!
Mkuu upo nami, hiyo sio 1992, huu ni uongo kabisa.
 
Hahahah! Hilo koti ni noumar! Chini angetupia Torn jeans juu amalizie na snap ingekuwa ni shida
 
Back
Top Bottom