Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Hata mimi nilisoma UDSM miaka 4 na nikamaliza bila totoz! . Mambo ya totoz ni tabia tuu ya mtu, ila nakiri watu wa kanda ile sio watongo. .ji wazuri, kijijini inaongea ng'ombe mijini inaongea pesa. Ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda na kuhonga , limoyo langu lote llinakudondokea, tatizo ni ibadi ya wanawake at a time!.
Pasco
Hilo tabasamu lake inabidi tulipe jina
 
Yaani nilitaka kuandika hivyo.@Nyani Ngabu na mkuu wangu Pasco njooni huku
Dress Code sio issue kubwa kwa watu wa kanda ile, ila nakiri tuna tatizo la ushamba wa kupindukia na udhaifu kwenye mambo yetu yale!. Hakuna kosa lolote mtu kumcheka mtu yoyote aliyevaa kishamba!, na kiukweli sisi Wasukuma sio ma minder kihivyo kuchekwa kwasababu tunajijua ni washamba sana!, na haswa kwa waliokulia kwa kuchunga ng'ombe na mbuzi!, ila tatizo ni viongozi wetu wanaojipendekeza kwa Mkuu!
Paskali
 
Hata mimi nilisoma UDSM miaka 4 na nikamaliza bila totoz! . Mambo ya totoz ni tabia tuu ya mtu, ila nakiri watu wa kanda ile sio watongo. .ji wazuri, kijijini inaongea ng'ombe mijini inaongea pesa. Ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda na kuhonga , limoyo langu lote llinakudondokea, tatizo ni ibadi ya wanawake at a time!.
Pasco
Una nikana?
 
Inaonekana mkulu alikuwa anapendelea viatu vya ile kiwi ya dark tan kama mie,halafu ni mtaalamu wa colour separation kabisa kabisa,miwani myeusimyeusi,koti na tai red,shati nyeupe,suruali sijui bluu ile?brifukesi nyeusi,maandishi ya njano,ule mtwango kule chini dark tan,jamaaani,kapendeeeza KWELI KWELI!
Pasi ya suruali ni ilikuwa kuikunja na kuiweka chini godoro.
 
Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.

You are a novice in religious philosophy young man.
 
JF balaa watu wana library ya picha za mh Rais za mwaka '92
Ngoja namimi nitunze image yangu vizuri pengine 2025 ikawekwa ya kwangu humu😀😀
 
Back
Top Bottom