Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

1469897663619-jpg.373521
Hili koti la kitwanga linaonekana lilipiga shughuli si haba.
 
Hizo pamba kama bado anazimiliki huyu Mzee anaonekana mkoroni basi atupe tuziweke kwenye nyumba ya makumbusho
 
Likoti lilivyo vuruvuru,marangi rangi vuruvuru
Kuwa ana adabu wewe ......huyo ni mheshimiwa raisi......na analingana na baba yako mzazi........ungefurahi au ungejisikiaje baba yako mtu amkashifu hivyo.......[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Kuna uwezekano wa photo shoping (editing) pia. Nani karuhusu kurushwa hiyo picha? Umakini unahitajika.
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..
Kitwanga alikuwa mtanashati tangu zamani, hakuwa mrugaruga
 
Naona kifungo/kishikizo original cha koti chekundu kilitoka akaamua kurudishia cheupe, safi sana hii!!
Bendera ya Taifa ina Rangi nne.... Bendera ya Taifa ina rangi nne... Ie ya katikati... ile ya chini yake, Nilishasahau!
 
Sawa nimeiona picha je inamchango gani kwenye kuliongoza taifa hili kwenda kwenye uchumi wa Kati Na kuwa NCHI ya viwanda? Habari za kutoka mbali hazina tija kila mtu katoka mbali bwana
 
Wa mizuka katika ubora wake Saddam Rais wa Kuwait.
Hizi phd za kudefine catalyst kwenye mikutano ya kimataifa nachoka sana. Nikija hapo kwenye kibomu cha Sadamu alikua rais wa kuwait mbavu zinachanika.
 
Mbona huyo haelekei kuwa ni Kitwanga, na hapo si mwaka 1992, hapo inaonekana ni bungeni Dodoma wakati mheshimiwa tayari ni naibu waziri....
We huoni huo mkoba wake wenye chata ya serikali na nyuma anaonekana Jackson Makweta aliyekuwa waziri sijui wa nini enzi hizo.....
Hiyo nembo kwenye mkoba ni ya ccm.....
 
Kwani hao marais wengine waliopita walikuwa watoto wa akina nani? na hiyo picha iliyowekwa hapo inaonyesha 'ukulima' wowote?
 
Back
Top Bottom