Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Hiyo Ndo fashen ya mda huo makoti ya double press na suruali pana kwa juu na chini ni ndogo. Na Tai nyembamba
 
french-fashion-designer-jean-paul-gaultier-with-irish-and-political-picture-id558933659


Bob Geldof 1990
 
Huyo jamaa nyuma ya Mh.inawezekana kapewa kitengo flan nyeti sasa hivi.Si unajua "ushkaji"wa kupiga picha pamoja?
 
Mwaka '92 nusu ya wana JF walikuwa bado wamo kwenye testes lakini ona wanavyokosoa sasa. Sisi tuliokuwepo huo mwaka na akili zetu timamu tunapata picha ni jinsi gani Mkulu alivyotokelezea.

You are talking the event that happened 25yrs ago.

Afu we Leo unadhihaki,ovyooo

You are missing the point. Yes, ni mwaka 1992, lakini linganisha uvaaji wake na wa huyo mwenzake (Makolo). Vitu viwili tofauti kabisa
 
Wa mizuka katika ubora wake Saddam Rais wa Kuwait.
 
Inanikumbuka miaka ile tunaangalia video za miziki ya Zaire,kina Kwasakwasa
 
Hiyo Picha sio mwaka 1992 kwasababu kipindi hicho JPM hakuwa mbunge bado,JPM kaingia bungeni mwaka 1995 baada ya mkapa kuwa Rais na hapo hapo akawa waziri mdogo wa ujenzi chini ya mama anna abdalah!
 
Siyo cheupe mkuu, hiyo ni reflection ya mwanga wa jua.
Dah,
Mkuu, hilo jua litakua either limetumwa, au lina ugomvi binafsi na hicho kishikizo kimoja au vyote kwa pamoja. Yaani koti lenye vishikizo sita hilo jua liache vishikizo vingine vyote vitano lije limulike hicho kishikizo kimoja tu??
 
Back
Top Bottom