Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Mbona huyo haelekei kuwa ni Kitwanga, na hapo si mwaka 1992, hapo inaonekana ni bungeni Dodoma wakati mheshimiwa tayari ni naibu waziri....
We huoni huo mkoba wake wenye chata ya serikali na nyuma anaonekana Jackson Makweta aliyekuwa waziri sijui wa nini enzi hizo.....
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..
Wadau, pichani ni Mhe. Rais J.P. Magufuli na ndg Paulo N. Makolo aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Kishapu kabla ya Fred Mpendazoe!
 
Sasa hivi sishangai yeye kumaliza UDSM bila totos.
Hata mimi nilisoma UDSM miaka 4 na nikamaliza bila totoz! . Mambo ya totoz ni tabia tuu ya mtu, ila nakiri watu wa kanda ile sio watongo. .ji wazuri, kijijini inaongea ng'ombe mijini inaongea pesa. Ndilo kabila linaloongoza kwa kupenda na kuhonga , limoyo langu lote llinakudondokea, na ninaweza kuhonga chochote kuanzia pesa, Gari, nyumba, watu wanahonga hadI ghorofa, tatizo ni idadi ya wanawake at a time!.
Paskali
 
Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
Kilaza ni tusi??
 
Back
Top Bottom