Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Naona kifungo/kishikizo original cha koti chekundu kilitoka akaamua kurudishia cheupe, safi sana hii!!
Tuwadhamini waalimu jamani wana hali ngumu, mara vishikizo, viraka vya nguo nk
 
Kumbe style yake muheshimiwa ya makoti makubwa yenye mikono mirefu iliyopwaya alianza nayo toka longi.

Wardrobe mishap!
Mwanangu nilipoliona koti nikajua labda ni enzi zile nguo hamna mbona jamaa yeye kitwanga kapiga pamba saaf
 
Inaonekana mkulu alikuwa anapendelea viatu vya ile kiwi ya dark tan kama mie,halafu ni mtaalamu wa colour separation kabisa kabisa,miwani myeusimyeusi,koti na tai red,shati nyeupe,suruali sijui bluu ile?brifukesi nyeusi,maandishi ya njano,ule mtwango kule chini dark tan,jamaaani,kapendeeeza KWELI KWELI!
Kwa kusoma lugha ya mwili tu hapo kwenye picha nimegundua Kitwanga ndiye aliyetoa ofa ya kupiga hiyo picha.
Pia nimegundua ni kwa nini Kitwanga alitaka aoige naye hiyo picha.
Halafu bosi wangu anaonekana kugundua dhamira ya Kitwanga ila amekubali tu kwa kuwa mwenzake huyo ni mwenyeji wa mitaa ya mjini dar es salaam na yeye ndiyo anaosha kuwa karibu yake.
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..


Kumbe Ngosha na Kitwanga hawakujuana BaraBarani tu.
 
Kwa pembeni ni Waziri Jackson Makwetta. Koti na Tai vya Mkuu vinanikumbusha Mheshimiwa Steven Kuwayawaya....
 
Kuwaita Vilaza watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
Kumbe ben kajificha jamii forums
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..

1469897663619-jpg.373521
Ifikie hatua HATA AIBU muwe mnaona!
Rais wa WANYONGE lkn anayetukana WANYONGE
Wanyonge wana kufa njaa MISENYI kutokana na tetemeko na kasema kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe!
ONE TERM PRESIDENT in making!
Ataokolewa na TUME yake!
 
Una nikana?
No sikukani labda kama uliniota kwenye zile wet dreams zenu, na ulipoamka ukajikuta, ukadhania nilikuibukia!, kiukweli kabisa nimetoka bila bila kwa sababu nilianzia TSJ, nikatoka na mke ndipo nikaenda UDSM.
Ila kutimiza ndoto ruksa nita ku pm.
Paskali
 
Kuwaita Vilaza watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
Ndio maana umejificha!
 
Mbona wa nyuma kama prof Muhongo?, ila Kitwanga mjanja kitambo
 
Back
Top Bottom