Ni mzee MakwetaHuyo mwenye para anayeonekana kwa nyuma ni mzee wa mama tanzania nini?
Siyo reflection ya mwanga wa jua, ni mwanga wa camera.Siyo cheupe mkuu, hiyo ni reflection ya mwanga wa jua.
Ni Paulo Makoro,alikuwa mbunge wa Kishapu kabla ya MpendazoeSasa ndio mtuambie ni nani?
Ili nasisi wa huku ushirombo tupate stori ya kesho kuanza nayo kijiweni[emoji39]
Asante sana mkuu,Ni Paulo Makoro,alikuwa mbunge wa Kishapu kabla ya Mpendazoe
Kasom seminary alikosa nafasi nini?Katoke Seminary, Lake Secondary School, Mkwawa Teachers College, UDSM, UDSM, UDSM!
Yule mbunge wa Kishapu wa sasa hivi ananiacha hoi.Ni Paulo Makoro,alikuwa mbunge wa Kishapu kabla ya Mpendazoe
Hhahaha Seleman Nchambi,form four felia wa Buluba sec,mwarabu kokoYule mbunge wa Kishapu wa sasa hivi ananiacha hoi.
Hacha kuongea pumba wewe...hiyo ni miaka ya 1992 kwa kipind hicho hapo wapo very smart sasa wewe utampondaje? Au wewe unafikiri kalivaa leo?Msukuma mwenzangu kwa hilo koti dah kaniacha hoi???!!! Ndo maana wasukuma tunachekwa kwa kutokujua kuvaaa hahaaaaaaaa....hilo koti@#
Hakuna aliyepaniki. Ila mtu anayeshadadia kisichoeleweka bila shaka ana ugoto kwenye kuyaona mambo kwa uyakinifu wake!Ben unaonekana umepaniki sana... Nadhani sio wewe tu ni ukawa wote.. Tunawaomba muwe wapole tu kwanza
Jf kuna raha jamani brother asije akaitumbua brother hata sura yake anaonekana Mtata kweli kweli chek na pozi rake hadi raha naona hata mama akiitazama anafarijika kwa mitupioa ya mzeeHivi walikuwa wanaendaje out na mama? Hapo upepo ukivuma linaweza kuwa parachute
Povu linakutoka wakati hayo mapigo alitakiwa avae mskuma alie misungwi sasa huyo alikua dar hahaaa.mm ni msukuma na nawajua ndugu zangu kwa kuvaa ni zero ila kwa kazi ni A+Hacha kuongea pumba wewe...hiyo ni miaka ya 1992 kwa kipind hicho hapo wapo very smart sasa wewe utampondaje? Au wewe unafikiri kalivaa leo?