Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Picha: Rais Magufuli na Kitwanga 1992

Inaonyesha hu
Sawa nimeiona picha je inamchango gani kwenye kuliongoza taifa hili kwenda kwenye uchumi wa Kati Na kuwa NCHI ya viwanda? Habari za kutoka mbali hazina tija kila mtu katoka mbali bwana
Huyu kiongozi yuko ovyo toka zamani
 
Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
we nenda kaandae maandamano ya kesho
 
Inaonyesha hu
Sawa nimeiona picha je inamchango gani kwenye kuliongoza taifa hili kwenda kwenye uchumi wa Kati Na kuwa NCHI ya viwanda? Habari za kutoka mbali hazina tija kila mtu katoka mbali bwana
Huyu kiongo
Kulinyoosha koti ni mpaka mtoe makochi yote sebuleni halafu mnalitandika koti watu wawili na pasi mbili
Wewe kijana utakamatwa na polisi
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..
Mkulu viatu hakupiga dark tan
 
1469897663619-jpg.373521

Kitwanga kumbe ULEVI hakuanza leo?? Hapo kwenye picha anaonekana ashakunywa tiyari
 
Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
kwa heshima yako ben nakupa hii picha uone jinsi watanzania wengi tunavyotoka familia duni ,je unajua huyo ni nani
 

Attachments

  • rais.jpg
    rais.jpg
    19 KB · Views: 56
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..
Mada zingine u..bo...ya
 
Hillary Clinton leo kaionyesha dunia kuwa mwanamke anaweza kuwa Rais wa Taifa kubwa kama Marekani.

Rais Magufuli kaionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa Rais wa taifa hili. Ukiangalia hiyo picha ni wazi Rais Magufuli katoka mbali sana sana...

Mungu azidi kumbariki. Na azidi kupigania mamia ya watoto wa masikini waliopo nchini..
Mleta mada unapo andika uwe makini kidogo, Hillary Clinton amechaguliwa lini kuwa rais wa hilo Taifa kubwa?
Mimi ninavyo jua ni kuwa yeye bado sio rais. Kuteuliwa na chama chako na kuchaguliwa kuwa rais ni vitu viwili tofauti.
Pia Magufuli kuionyesha dunia na Tanzania kuwa mtoto wa mkulima/masikini anaweza kuwa rais waTanzania unakuza tu, sababu Tanzania yenyewe bado ni nchi maskini mbele ya sura ya kimataifa, wananchi wake ni wakulima na wafugaji kwa asilimia kubwa, hao wanao jiita matajiri wengi wao ni mafisadi tu, na wameibuka miaka ya karibuni tu, pengine hata hawana watoto wa kuweza kuwa marais wa TZ, ebu tutajie mtoto wa milionea au wa tajiri aliye ongoza Tanzania kama rais ni nani? Nyerere? au Mwinyi? au Mkapa kutoka kule Masasi? au Kikwete wa Msoga? Ukitajia mtoto wa Tajiri kati ya hao maris wetu nitafuta udadisi wangu, nanitakuomba msamaha kwa kukudadisi. Karibu sana.
 
Kumbe style yake muheshimiwa ya makoti makubwa yenye mikono mirefu iliyopwaya alianza nayo toka longi.

Wardrobe mishap!
Copenhagen hivi wewe wardrobe za kule home umesha zisahau, mimi nilikuja nayo moja hapa NL miaka hiyo sijawahi kuivaa hata siku moja nimeihifadhi tu kama kumbukumbu. Anyway nataka niku pm kidogo nije hapo Copenhagen siku mbili tatu hivi kupunga upepo kipindi hiki cha likizo. Nipo hapa kwa King wa kidachi.
 
Kuwaita ****** watoto wa Wakulima ndio kuwapigania gani huko.Huyo Mungu unayemuomba ambariki ungeanza kumuandika kwa Kuanza na herufi ndogo tu yaani "mungu" na sio huyo Mungu anayeabudiwa na wale watoto wa wakulima aliowatusi na kuwadhalilisha.
Ben
Chuki zimekufilisi kisiasa mpaka kimaadili...

Umesahau tu kwamba Mungu/mungu hana chuki kama uliyonayo wewe rohoni mwako..
Mungu/mungu haangalii umetumia alphabeti gani kumtaja..
Nia /dhamira yako ndio inayo matter..

Mimi naandika kiarabu na ninamtaja na kumuandika kila siku na wala sina cha alfabeti kubwa wala ndogo ya kumtaja Mungu/mungu..
 
Back
Top Bottom