Picha na stori za Loliondo- kwa Babu

Mimi nilipata dawa siku ya jumamosi tarehe tano mwezi Machi.
Hali ni mbaya na ya kutisha. Wagonjwa mahututi ni wengi na wangine wamefia pale na maiti zao kufungwa na mikeka na kupakiwa juu ya carrier ya gari kama mzigo.

Duh! RIP...
vipi wewe umepona?
 
Mtu B upo, habari ya siku bwana...................
Daa yaliyopita sio ndwele tugange yajayo, lakini hii ndiyo dunia tunayopitia mtu angu,
Ukiona unacheka leo shukuru Mungu, huwezi jua kesho au baada ya hicho kicheko kitafuata nini.

Usiwe na hofu bwana, wala usiwe na uhusiano wa kitandani usije ukajisahau akabeba mimba kabla ya ndoa.
Nendeni mkapime afya, msamehe kwa kukudanganya, kwa sababu hata uongo wenyewe hauna maana sana,
ni dhamu ya woga tuuuuu, hasa ukizingatia ameenda kupata matibabu.

Other wise, usisahau kutualika kwenye harusi.
 
Wakati unaendesha gari kuelekea Loliondo au kutokea huko bila kificho mlima huu utauona bila kificho unaitwa Mount Oldoinyo Lengai, kwa kimasai wao wanamaanisha ni mlima wa Mungu!
Lake%20Natron03.jpg

Nice pic....
 
Wanaume mnapenda kucontrol wanawake sana sasa hata hajafikia ngazi ya uchumba unataka kumpangia maisha . Mwache atumie uhuru wake mpk utakapoamua kumuoa

sasa si anaanza tuition taratibu.mambo kama huyawezi ukiwa Gf usitegemee kuleta wonders kwenye ndoa
 
Mimi nilipata dawa siku ya jumamosi tarehe tano mwezi Machi.
Hali ni mbaya na ya kutisha. Wagonjwa mahututi ni wengi na wangine wamefia pale na maiti zao kufungwa na mikeka na kupakiwa juu ya carrier ya gari kama mzigo.
Niliona askari wawili tu na mgambo wengi ambao walikuwa wanawatandika wagonjwa waliojaribu kukiuka utaratibu. mgambo walikuwa na madaraka kuliko mkuu wa kituo cha polisi.
Serikali ichukue hatua haraka kupunguza mateso makubwa wanayopata watu.
Kuwekwe kituo kila mkoa ambacho kitaratibu watu wanaotakiwa kwenda kutibiwa ili idadi hiyo iendane na uwezo wa babu kutibu kwa siku.
waafrika tunamapungufu makubwa katika kutumia karama tulizopewa na Mungu hata sasa askofu Kakobe ametamka kuwa huyu babu akanyagwe na kusambaratishwa kwa kuwa anatumia mashetani.

Jamani, wanakufa tena??? Jamani watu washauriwe wasipeleke mahututi, maana babu hana emergency ward, ni mpaka folleni yako ifike!

R.I.P.
 
Ha ha haha JF kila kitu mnafikiri ni siasa mnahitaji maelezo....Mkuu wewe huumwi kama ungekuwa unaumwa..wewe sasa hivi wala ungekuwa hupatikani kwenye simu uko kwa babu wangoja Huduma...its all about imani...na imani zinatofautiana kati ya mtu na mtu..achilia mbali...mambo ya spritual healing...get ur money and start safari to loliondo if unaimani kweli kwani si chochote kama huna imani.

Watanzania bwana sijui walirogwa na nani yani uzushi tu watu wanaamini hata bila ya kuhoji. Ulikuja uzushi kuwa Kikwete ni changuo la mungu watu wakaamini akapigiwa kura nyingi matokea yake wote tunajuta; ikaja desi watu wakaamini kuwa ndiyo njia ya mkato kuelekea kwenye utajiri; matakeo yake watu walilizwa vibaya sana. Babau wa Loliondo amakuja na uzushi wake wa tiba watu ameamini tusubiri matokeo.
 
usiwe na wasiwasi,ina maana kila anaeenda huko ana ukimwi?wengine wana matatizo yao binafsi,ila kwa kujiondolea wasiwasi huwa wanaona bora waende huko.kwa kuondoa wasiwasi,kwa nini usimuulize na umwambie awe muwazi kwako?mwambie chochote utakachoniambia,mimi nakupenda ila tafadhali kuwa muwazi kwangu,kwani sina nia mbaya na wewe.
 
Watanzania bwana sijui walirogwa na nani yani uzushi tu watu wanaamini hata bila ya kuhoji. Ulikuja uzushi kuwa Kikwete ni changuo la mungu watu wakaamini akapigiwa kura nyingi matokea yake wote tunajuta; ikaja desi watu wakaamini kuwa ndiyo njia ya mkato kuelekea kwenye utajiri; matakeo yake watu walilizwa vibaya sana. Babau wa Loliondo amakuja na uzushi wake wa tiba watu ameamini tusubiri matokeo.

You must be a fool to compare these events
 
Ha ha haha JF kila kitu mnafikiri ni siasa mnahitaji maelezo....Mkuu wewe huumwi kama ungekuwa unaumwa..wewe sasa hivi wala ungekuwa hupatikani kwenye simu uko kwa babu wangoja Huduma...its all about imani...na imani zinatofautiana kati ya mtu na mtu..achilia mbali...mambo ya spritual healing...get ur money and start safari to loliondo if unaimani kweli kwani si chochote kama huna imani.

Mkuu sijui kwa nini mahitaji ninayohitaji ni ya kisiasa...badala ya kusema ni ya kisanyansi!

Sijui nani kakumbia siumwi ...na kwamba sijafika Loliondo! tuyaache hayo!!

Get very clear of my concern ... Muda wa kusubiri tiba, kwa mgonjwa tena mgonjwa wa magonjwa sugu, hakuna sehemu nzuri ya chakula, hakuna sehemu nzuri ya vyoo, mgonjwa anakaa kwnye gari au chini ya miti porini more than two to three days na hapa tunaongelea wagonjwa... Normal ethics za kumtunza mgonjwa zimekiukwa...

Nimetoka Loliondo ndio maana nakumbia yote haya!!

Sija hoji wala kutilia shaka matokeo ya dawa hilo kila mtu aachiwe...

Ninahoji ... namna ya kuboresha huduma ya Babu iweze kuwasaidia watu wengi zaidi na kwa njia rahisi zaidi....
 
Ni tiba tu hamna kinga? Kwetu tunakisukari,nami najua in due time ntakipata. Ingependeza sana kama ingekua ni kinga pia. Coz BABU hatakuwepo yakinisibu.

Usi ruhusu hicho kitu....neno la Mungu linasema uzima na mauti umo mdomoni mwa mtu chagua uzima...Uki anza ku confess hicho kisukari kweli utakipata maana unaondoa nguvu ya Mungu kukukinga at your own will...
 
Cna iman kama huyo rafiki yake alokuambia pia ni rafiki wa kweli yawezekana anania ya kumuharibia mwenzake ili yeye ajiconfige take care usiamin kila unaloambiwa kama una wasix2 nae kapimeni muwe na uhakika!
 
Maybe u should take this as a wake up call, that magonjwa hayapimwi kwa macho , so unless have been tested never assume otherwise!!
 
."Kakobe alikwenda mbali zaidi na kumfananisha mchungaji huyo na mganga wa kienyeji huku akijigamba kuwa hata kanisani kwake watu waliokuwa na Ukimwi walipona
 
Watanzania bwana sijui walirogwa na nani yani uzushi tu watu wanaamini hata bila ya kuhoji. Ulikuja uzushi kuwa Kikwete ni changuo la mungu watu wakaamini akapigiwa kura nyingi matokea yake wote tunajuta; ikaja desi watu wakaamini kuwa ndiyo njia ya mkato kuelekea kwenye utajiri; matakeo yake watu walilizwa vibaya sana. Babau wa Loliondo amakuja na uzushi wake wa tiba watu ameamini tusubiri matokeo.

Kama we huamini kivyako, na itakua we ndo uliamini chaguo la mungu ni nani sio wote. Watu wanaponywa kwa imani acha wanaoamini wajipatie uponyaji. Ukipata mgonjwa kwako ndo utaongea lugha moja na hawa wanao mwamini babu chekelea tu saizi.
 
Back
Top Bottom