Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Picha: Jeshi letu bana kwa kuiga tu

Jeshi lolote lile Lina nidhamu zake hawezi Askari kuiga tu bila kuwa na sababu ambayo inakubalika na uongozi wake.

Waheshimu Jeshi letu, lolote lile, wanajitolea nafsi na maisha yao kutufanya sisi tulale salama.

Hata uwepo wako JF kwa kujinafas unawategemea hao hao walinda usalama wetu.

Ahsanteni sana vijana kwa kutulinda katika mazingira magumu. Msikatishwe tamaa na mapunguani wachache wasio na fikra.
hakuna cha kujitolea hiyo ni kazi yao waliyoiomba na wanalipwa kwa ajili hiyo
 
hakuna cha usungu hapa hili jeshi liko kwa ajili ya hili lichama tu sI wengine tunajilinda. Mbona bado hawajawakamata vidume huko kibiti
Moja ya matunda ya kuwepo hilo jeshi ubalolidharau,ni wewe kuwa huru na amani hadi kuweza kuandika unachotaka humu
 
Usikute na ww ni baba unaetegemewa na familia.. Wakati huku Jf unaandika ujinga kama huu
ni kama sisi tunavyomtegemea sizonje lakini anavyofanya mambo yake kijingajinga na maneno yanaotoka kinywani mwake yakitoto toto utadhan hana phd
 
Ningeshauri askari wetu watafutiwe vinyago kama vile vya bridal mask.Hicho alichovaa kimekaa kama spider man bana
 
Ufaransa Hao ni special force na katiba inawalinda hawatakiwi waonekane sura zao kwa namna yoyote ukifanya ivyo unashitakiwa

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
Katika Operesheni za kipolisi au Kijeshi ukiona askari amevaa kitu cha kuficha sura yake inawezekana kabisa ya kwamba askari huyo anatokea katika eneo husika au anatambulika katika eneo hilo. Pia kuna uwezekano huwa anafanya shughuli za kiintelijensia katika eneo husika.
 
sababu gani kama si kuiga? Nendeni zenu kule
Kuna askari wa aina nyingi, mfano wapo wengine hawatakiwi kujulikana kwa raia (Plain clothed) na wanaojulikana (Uniformed). Katika mazingira ambayo yatamuweka yule wa kujificha hadharani, basi ni lazima afiche utambulisho wake.
 
Kwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
Naunga mkono hoja
View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843

Iga ufe!


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Utakuta ni mkazi wa.kibiti so.lazima ajifunike la sivyo utasikia.kesho wamemlipua

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
View attachment 540844
Huyo askar kwenye picha bila shaka alifuatilia matukio ya kigaidi huko ufaransa kwenye tv na kuwaona makomandoo wa huko wakivaa kininja (balaclava) naye akapiga timingi matukio ya kibiti akaamua atoke hivyo. Utadhani kinyago.
View attachment 540842 View attachment 540843

Iga ufe!
Mimi sina mafunzo yoyote ya kijeshi lakini sidhani huyo wa kwanza kushoto kama kaishika hiyo silaha yake kwa utayari in case likitokea la kutokea kwa ghafla.
 
Kwa mtazamo wangu hakuvaa kifaa hicho kwa bahati mbaya.
Ni wazi alikuwa anaficha utambulisho wake, sababu inawezekana si mmoja wa hilo jeshi lililopo hapo eneo la tukio. Pengine yeye ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi, inawezekana ni kiongozi mkubwa tu wa moja ya majeshi ya tz, au ni mfanyakazi wa idara ya serikali au taasisi binafsi -hapo kaenda kwa kazi maalum
pandikizi.
 
Atakuwa ana sababu za msingi kuvaa hivyo! vingine asingeruhusiwa kuvaa sare na mambo mengine ya kiraia bila idhini ya mamlaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom