TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG?Habari wadau..!
Kilichonivutia kwenye picha hii sio ujumbe kwenye haya mabango ,bali hii picha ya awa mapolisi waliopiga picha na waandamanaji hapa kwetu Buza kwa Lulenge nadhani baada ya picha hii kusambaa IJP atawasimamisha kazi maafisa hawa kwa kushiriki maandamano badala ya kuzuia ๐๐๐
Bwashee juzi kuna mnama mmoja alikuwa ananiuliza kama wewe ni ufipa au lumumba maana anasema huwa hakuelewi elewi.Lumumba na Ufipa wapi na wapi manka?!!
Yawezekana u mgeni hapa mjini.
Namuona buana Kingai kwa nyuma hapo.
Kwa jinsi walivyo hakuna hata mmoja anayetumia "akili",weledi na kuzingatia sheria.Sura mavi mavi tu.
Bwashee siasa siyo uadui!Bwashee juzi kuna mnama mmoja alikuwa ananiuliza kama wewe ni ufipa au lumumba maana anasema huwa hakuelewi elewi.
sura za kulizia watoto
Najua hilo bwashee. Kwani uki admit kuwa wewe ni Ufipa unadhani nitakuona kuwa ni adui yangu?Bwashee siasa siyo uadui!
PICHA IKO WAPI
Ona ngozi nyeusi zilivyo kaa kishetani shetani!
Mhhhh huyu ni CCM wa kufa na kuzikana , sema labda hatujui ya rohoni!Najua hilo bwashee. Kwani uki admit kuwa wewe ni Ufipa unadhani nitakuona kuwa ni adui yangu?
๐hahahasura za kulizia watoto
walikuwa na haraka ya kuja duniani ubongo ukawa unatupiwa chap chap๐hahaha
Ila ushindani wa hoja ni uadui, kwako/kwenu?Bwashee siasa siyo uadui!
Waliozoea kushika AK 47 na kuikoki kila wakiona bendera ya chadema au bango lenye picha ya mbowe kama siyo Lissu ni hao maafande wa buzza lakini huko mbele hawana hizoHawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG