PICHA: Jeshi la polisi la Tanzania lina mengi ya kujifunza kupitia picha hii

Ma- 'IJP' wao wameenda shule za kikweli na wanaelewa maana ya uhuru na demokrasia tofauti na 'IJP' wetu
 
Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG?
 
Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG
Waliozoea kushika AK 47 na kuikoki kila wakiona bendera ya chadema au bango lenye picha ya mbowe kama siyo Lissu ni hao maafande wa buzza lakini huko mbele hawana hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ