Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,320
- 13,627
Hizi sura zimekaa kikatili balaaa
Hizi sura zimekaa kikatili balaaa
Sura za mbuzi
Inawezekana hao wengine ni warefu "kwerikweri" na yeye ni mrefu wastani.Picha isikupe majumuisho ya ziara ya USA.Hawa ni askari kweli, au ni mgambo tu wa jiji? Mbona askari wote wameshika virungu badala ya SMG?