Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,237
- 44,470
- Thread starter
- #41
Watu mna mawazo ya mbali kweli..hivi Hadi wote tukubaliane kukosoa au kuunga mkono ndio iwe halali? Miye nazungumzia hiyo mimbari..chafu mno in maana watu hawaioni? Rais katinga suti na bodigadi juu halafu anazungumza mambo mazito kwenye dubwasha Hilo...kwa wengine inaweza isiwe muhimu lakini Ni ishara ya umakini. Kuna mtu hafanyi kazi yake sawasawa.