Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Watu mna mawazo ya mbali kweli..hivi Hadi wote tukubaliane kukosoa au kuunga mkono ndio iwe halali? Miye nazungumzia hiyo mimbari..chafu mno in maana watu hawaioni? Rais katinga suti na bodigadi juu halafu anazungumza mambo mazito kwenye dubwasha Hilo...kwa wengine inaweza isiwe muhimu lakini Ni ishara ya umakini. Kuna mtu hafanyi kazi yake sawasawa.
 
Tunabana matumizi....kwani lisipohudumiwa kuna hasara gani?
 
Mzee Mwanakijiji mbona sikumuona Mzee wa Msoga kwenye uzinduzi wa maktaba pale UDSM?? sorry kwakuwa nje ya mada.
 
Watu mna mawazo ya mbali kweli..hivi Hadi wote tukubaliane kukosoa au kuunga mkono ndio iwe halali? Miye nazungumzia hiyo mimbari..chafu mno in maana watu hawaioni? Rais katinga suti na bodigadi juu halafu anazungumza mambo mazito kwenye dubwasha Hilo...kwa wengine inaweza isiwe muhimu lakini Ni ishara ya umakini. Kuna mtu hafanyi kazi yake sawasawa.
Mimbari haiwezi kuwa safi kama roho ya mtumiaji siyo safi
 
...haujamuelewa mkuu,..hebu msome kwenye mistari kwa utulivu utakuja gundua wote mnawaza na kunena mamoja
Wewe ndio hujamwelewa. Kwa mara ya kwanza niliposoma heading nilielewa kama wewe. Ila sasa swala ni hicho kidubwasa na kahoji kiko kimoja tu?
 
Wewe ndio hujamwelewa. Kwa mara ya kwanza niliposoma heading nilielewa kama wewe. Ila sasa swala ni hicho kidubwasa na kahoji kiko kimoja tu?
...kama ndio kamaanisha hivyo basi ni hopeless just like other street hunters
 
Nadhani katumia lugha ya picha kufikisha ujumbe wake, Jaribu kumwelewa mtoa hoja vizuri.
Sema alichoongea kinaeleweka ila mnajaribu kufixed na akili zenu.Hapo kinaongelewa hicho kimeza, je kipo kimoja tu?Hapo kweli kunahitaj nn kuelewa?
 
Useless, kwhy ndo ulichoona cha kukosoa kuhusu utawala huu?mambo ya msingi unaacha unafatilia vitu vya ajabu,mzee mwanakijiji unasikitisha sana siku hz
hukumuelewa Mzee mwanakijiji, amewasilisha hoja kwa fasihi. fikiria tena kwa kina utaipata hoja yake.
 
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu

Umerudi Mwanakijiji? Usigeuke nyuma tena, gunia la chumvi kama kumbukumbu hatulitaki.

Wengi tulisubiri, tukawa na matumaini baada ya lile 'li-dhaifu', tukidhani hapa tutapata ahueni. Ona sasa tunavyozidi kuwa kichekesho cha dunia!

Hapo Golf Juu napaelewa sana, palikuwa na Jamaa moja 'li.bully' kweli kweli. Lakini kwa bahati nzuri 'Ubully' uliliondoka lilipoingia madarasa ya juu na kukutana na "Ma-bully" hasa.

Hili dubwasa lako, kwa bahati mbaya, "U-bully" wa uzeeni ndio unakaza kasi.
Sijui tufanyeje!
 
Watu mna mawazo ya mbali kweli..hivi Hadi wote tukubaliane kukosoa au kuunga mkono ndio iwe halali? Miye nazungumzia hiyo mimbari..chafu mno in maana watu hawaioni? Rais katinga suti na bodigadi juu halafu anazungumza mambo mazito kwenye dubwasha Hilo...kwa wengine inaweza isiwe muhimu lakini Ni ishara ya umakini. Kuna mtu hafanyi kazi yake sawasawa.
Mimi mwenyewe nilielewa hivo lkn team Serengeti hawakuridhika kabisa,walitaka kuingiza propaganda zao.
 
Sema alichoongea kinaeleweka ila mnajaribu kufixed na akili zenu.Hapo kinaongelewa hicho kimeza, je kipo kimoja tu?Hapo kweli kunahitaj nn kuelewa?
Uwezo wako wa kufikiri ndo ulipoishia? Basi Kama ndo great thinkers haina maana.
 
...kama ndio kamaanisha hivyo basi ni hopeless just like other street hunters
Kutokubaliana na mtu sio hopeless, we ndio unaweza kuwa hopeless kwa kutojua sio lzm wote tuwaze sawa. Jinsi ulivyotafsir ni kweli umeonesha uhopeless
 
Back
Top Bottom