Wameshindwa kuvumilia, angalia thread ya uvccm..Huko lumumba leo mmpewa nini? Mbona kama siwaelewi?
Hahahaha!! kubwa kiko.Dubwasa kubwa.
Mkuu ni ww au hackers
Hakika macho tunatofautiana kuona....Dubwasha sijui dubwana ninaloliona mimi hapo ni hilo lenye kipara...wazungu wanaliita "African bald fraud"Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?
View attachment 948666
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Wamekuwaje huko wajameni? tusimuliwe na sisi mangumbaru tulipuke na yetu kama ni furaha au huzuni maana ndo machaguo yetu.Huko CCM hali sio shwari kabisa
Hahaha, lenye kipara😂😂Dubwasha lipi sasa maana yapo mengi
Haya huwa yapo mengi tu. Utaratibu ni kuwa lililopo karibu husogezwa mahali husika. Bahati mbaya inatokea mengine kuonekana yamechoka.Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?
View attachment 948666
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Useless, kwhy ndo ulichoona cha kukosoa kuhusu utawala huu?mambo ya msingi unaacha unafatilia vitu vya ajabu,mzee mwanakijiji unasikitisha sana siku hz
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?
View attachment 948666
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
SijakuelewaNimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?
View attachment 948666
Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...