Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

View attachment 948666

Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Muwaambieni wale wenye viburi wafanye yao.
Mimi naona kuna madubwana zaidi ya moja usiniulize lipi na lipi??
Hadi kufikia 2020 wote tutazungumza kiswahili na agenda yetu itakuwa ni moja juu ya huu ubatizo wa moto
 
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

View attachment 948666

Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Hivi ndo wewe mwanakijiji niliekuwa nakufaham au sim yako imedukuliwa
 
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

View attachment 948666

Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...

HAHAHAHA Mkuu umesahu kwamba tuko kwenye vita ya kiuchumi?
Kwenye vita askari hachagui silaha!!!!!
 
Mimi nasema Hilo la kati (presentable) si li zege tu kama jiwe au la mbao, sasa nanyakuliwa kwani hilo lina ufahamu?
Hahaaaaa mimi sijui boss asante kwa ufafanuzi wako
 
Back
Top Bottom