Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Picha: Huko Ikulu wanalibeba Hili Dubwasa, Hawalioni?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,202
Reaction score
44,238
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

1543379825477.png


Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
 
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

View attachment 948666

Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Huko lumumba leo mmpewa nini? Mbona kama siwaelewi?
 
Nimevumilia lakini nimeshindwa kujizuia.. nani anatakiwa kusimamia hili dubwasa likawa presentable... Limekuwa hivi hivi kwa karibu mwaka wa tatu sasa.. na hivi liko moja tu?

View attachment 948666

Sijui kwanini inanikumbusha dawati langu shule ya Msingi Golfu Juu...
Moja ya faida ya uvutaji wa bangi uzeeni,unaamka Na mambo yasiyo na tija kwa Taifa.
 
Back
Top Bottom