PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

PICHA: Hali ya baridi mkoa wa Arusha inatisha

Hiyo baridi huwa inafika nyuzi joto ngap huko?
Kuna baadhi ya sehemu maeneo ya Makete kwenye kipindi cha baridi kama hiki temperature huwa inafikia hadi minus 1-3 degree centigrade.

Kwenye maeneo hayo ukiingia guest house lazima ukutane na blankets nzito kama 2 hivi na humo chumbani unakuta heater......

Hiyo kipande ya Njombe na Makete nishafika, hiyo baridi ya huko sijaona ya kuifananisha nayo hapa TZ.....
 
Kuna baadhi ya sehemu maeneo ya Makete kwenye kipindi cha baridi kama hiki temperature huwa inafikia hadi minus 1-3 degree centigrade.

Kwenye maeneo hayo ukiingia guest house lazima ukutane na blankets nzito kama 2 hivi na humo chumbani unakuta heater......

Hiyo kipande ya Njombe na Makete nishafika, hiyo baridi ya huko sijaona ya kuifananisha nayo hapa TZ.....
Mhh kama inafika minus basi huko ni shiiida
 
Ila hata Ngorongoro kuna Baridi usisikie, na kuna Sehemu moja Karatu wanalima sana Ngano/Shayri panaitwa Mbululumbu kule ni balaa achana na ile baridi, na West Kilimanjaro nako kuna Baridi kari sana, kule Asubuhi lazima Injini imwagiwe maji ya moto la sivyo haitawaka kamwe.
 
Ila hata Ngorongoro kuna Baridi usisikie, na kuna Sehemu moja Karatu wanalima sana Ngano/Shayri panaitwa Mbululumbu kule ni balaa achana na ile baridi, na West Kilimanjaro nako kuna Baridi kari sana, kule Asubuhi lazima Injini imwagiwe maji ya moto la sivyo haitawaka kamwe.
Ha ha ha hapana chezea ngari nanyiki au ngarinaibobo,
 
Kuna baadhi ya sehemu maeneo ya Makete kwenye kipindi cha baridi kama hiki temperature huwa inafikia hadi minus 1-3 degree centigrade.

Kwenye maeneo hayo ukiingia guest house lazima ukutane na blankets nzito kama 2 hivi na humo chumbani unakuta heater......

Hiyo kipande ya Njombe na Makete nishafika, hiyo baridi ya huko sijaona ya kuifananisha nayo hapa TZ.....
Kijana unajua maana ya temp kufika -1 hadi -3 si mchezo hapo hadi mapaa ya Nyumba yanakuwa yamefukiwa na barafu? Wakati mwingine msitoe mambo ya uongo
 
Kuna baadhi ya sehemu maeneo ya Makete kwenye kipindi cha baridi kama hiki temperature huwa inafikia hadi minus 1-3 degree centigrade.

Kwenye maeneo hayo ukiingia guest house lazima ukutane na blankets nzito kama 2 hivi na humo chumbani unakuta heater......

Hiyo kipande ya Njombe na Makete nishafika, hiyo baridi ya huko sijaona ya kuifananisha nayo hapa TZ.....

Hapa tz hamna baridi ya -3 labda huko mountain Kilimanjaro ,usifanye mchezo na - 3 ,sanasana labda uniambie centgrade 5 za huko makete,makambako,njombe,- 3 hadi - 5 babaa ni za Urusi na huko green island kwa waeskimo.
 
Wanabodi out of topic kidogo vipi mlima kilimanjaro kule peak si kulikuwa na taarifa theluji inayayuka kwa sababu ya tabia nchi,vipi kipindi hiki kwa wanaopanda na wanao uona theluji imeongezeka?
 
Mbeya nako kule kwenye maeneo ya kitulo hali ikoje kipindi hiki?
 
Ila hata Ngorongoro kuna Baridi usisikie, na kuna Sehemu moja Karatu wanalima sana Ngano/Shayri panaitwa Mbululumbu kule ni balaa achana na ile baridi, na West Kilimanjaro nako kuna Baridi kari sana, kule Asubuhi lazima Injini imwagiwe maji ya moto la sivyo haitawaka kamwe.
Engine hii hii ya gari au ile engine nyingine? Sijaelewa hapo Mkuu
 
Back
Top Bottom